kuna vijana wamefanya transfer ya vyuo vikuu mwaka huu lakini mambo yamekuwa ndivyo sivyo .hapa n kwamba chuo kimewakubali lakini majina ya TCU kuja katemwa na ashalipia ada kila kitu .TCU wenyew walisem kwamba chuo kikiwakubal kirejeshe majina TCu ambapo wenyew watayapeleka loan board kwa ajil...
sasa nashangaa mbona pale ardhi mwaka wa kwanza interior design landscape architecture na architecture yenyew wanasoma wote naskia mpk mwak wa tatu ndo wanatengana
da mi mchz wangu kaenda loarn board kuulizia wakamwambia kusema ukwel serikali haina pesa na kuappel sio kwamb ndo kupata mkopo sasa jamaa angu karud kwao alhamis
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.