Mkuu wa kaya aliahidi kuigeuza Tanga kuwa jiji la viwanda. Kumbe na vilivokuwepo vimekufa? Na katapila linasema "CCM ni ile ile" Kweli wana haki ya kuiadhibu CCM kwa kuinyima kura.
Na haya ni ya UKAWA? Manati na kisu ni silaha za kivita? CCM kweli mmekuwa chui wa karatasi. Mnaleta magari ya kijeshi mnaogopa manati.
Mimi kura yangu kwa UKAWA.
Inasemekana katika mitaa ya Kashai Bukoba kuna watu walikuwa wanapitapita kwa vijana na kuwauliza watapigia kura chama gani. Kama ni kile kikongwe basi kadi hamna shida kama ni hiki cha 'mabadiliko' basi unapewa kati ya 20,000/= na 40,000/= na kukabidhi kadi yako.
Lowasa alipokuwa Kamachumu akimnadi mh. Dunstan Muta mgombea udiwani kata ya Kamachumu. Dunstan alikuwa diwani wa Kamachumu kwa tiketi ya CCM kipindi kilichopita. Sasa kavua gamba na kuvaa gwanda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.