Recent content by joemtimkavu

  1. joemtimkavu

    Hivi, kati ya Magufuli na Nape, nani mtoto wa mjini na nani atabaki mjini?

    Next time weka kabisa definition ya MTOTO WA MJINI kwenye MAIN TOPIC hapo juu maana watu wanatumia muda mwingi kubishana kuhusu KUZALIWA mjini kitu ambacho naamini haukumanisha hivyo.
  2. joemtimkavu

    Hivi, kati ya Magufuli na Nape, nani mtoto wa mjini na nani atabaki mjini?

    Nyerere kwani alitoka butiama straight kuja mzizima??ama alitokea tabora alikokuwa anasoma na kufundisha..kinachowapa tabu ni neno "KWAO " ..ni kama mtu akisema nimetoka ZANGU kanisani ..kwani kanisani ni yake??
  3. joemtimkavu

    Mnyama Mkubwa Zaidi Aliyewahi Kuishi Duniani aligundulika Tanzania mkoa wa Lindi

    mnyama mkubwa kuliko wote duniani??!!!!! (tone 80) wakati nyangumi mtoto tu ana ulimi wenye uzito wa tone3...wakati huo huo nyangumi mkubwa ana kama tone 209 kwa wastani (blue whale)
  4. joemtimkavu

    Madai ya Nyerere Kumkataa Lowassa, ukweli na ushahidi huu hapa

    vipi kuhusu Mipango ya kumpindua mwalimu?
  5. joemtimkavu

    Wema Sepetu: Tabia karithi kwa mama yake?

    Wazee wako hivyo ..ushauri tutaupata wapi..na iweje mzazi unajiingiza kwenye malumbano ya watoto huku ukimtetea mwanao ni upuuzi..ukirejea hata interview alofanya na zamarad aliongea pumba tu..KWA MANENO HAYO YAMETOSHA KUMVUA NGUO MWENYEWE KABLA HATA YA KUCHORWA
  6. joemtimkavu

    Namshangaa Wassira kujiona anaweza jibishana ubavu na Warioba

    Wasira anamiliki vyombo vipi vya habari..taarifa
  7. joemtimkavu

    CHADEMA ya sasa sio kama ile ya 2010...

    Nafuu umeliona hilo..
Back
Top Bottom