Ndg matumaini yangu ni wazima na mnaendelea vizuri katika jukumu la kujenga taifa.
Nimejaribu kutafakuri hali ya kisiasa ya Chama kikuu cha upinzani kati ya mwaka 2010 na hivi sasa kiufupi naona kuna pengo kubwa sana yaani namaanisha CHADEMA ya 2010 ilikuwa na Nguvu mno ukifananisha na hii ya leo.
Sijajua nini tatizo ila sio mbaya kama wana jamvi tukae chini na tutafakari kwa staha na unyenyekevu ili kujua kipi kimesababisha CHADEMA kupoteza Nguvu iliyo nazo kipindi hiko,,,naogopa yasije kuisha kama ilivoisha NCCR.
Ni fikra zangu naomba zisinishurutishe..
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Wala hujakosea. Hata slaa ilo analitambua.
Kwanza lana ilianza kukishukia chadema kilipotaka kiingie Ikulu kupitia Kanisani,wanajua walichofanya.kwa vifaranga hapa wataishia kutukana ila wenye vifaranga a.k.a manguri ya uhafidhina wanajua walichofanya.
Pili,lana ilizidi walipoamua kumtengenezea fitina zitto ili wapate uhalali wa kumtoa kwenye saccos ya homaini wa tengeru.
Hizi ndio sababu kubwa sana sana zinazokitafuna. Na kinakufa rasmi baada ya uchaguzi ujao.