umeongea kitu sahihi kuna wengine watabisha lakin kama kweli upo serious katika kutaka kuingia kwenye ndoa hivyo ni vitu vya msingi sana kuweza kuviangalia.
Watz unafiki na roho mbaya vitatumaliza maana mtu anapofanikiwa anasemwa vibaya sana ili ashushwe pale alipofika katika mafanikio kuna hatua nyingi na ndefu..nampongeza kijana mwenzetu makonda maana anaonesha ujasiri na uthubutu mambo mengine ni suala la kujifunza hakuna mtu ambaye akosei.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.