Video:Kwa hizi ngumi walizopiga Yanga hatua gani zinaweza kuchukuliwa

Yanga alivyoruhusu kuanza kufungwa kwenye ligi nahisi ndio mwisho wake.Yanga ni timu mbovu sana ila upepo wa ushindi uliibeba sana hii timu.siioni yanga ikishika hata nafasi ya tatu kwenye TPL. Baada ya muda mfupi ujao tutaanza kuona downfalls za Zahera,strength za kakolanya na wachezaji waliokua wanajitolea wakidai mishahara yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga alivyoruhusu kuanza kufungwa kwenye ligi nahisi ndio mwisho wake.Yanga ni timu mbovu sana ila upepo wa ushindi uliibeba sana hii timu.siioni yanga ikishika hata nafasi ya tatu kwenye TPL. Baada ya muda mfupi ujao tutaanza kuona downfalls za Zahera,strength za kakolanya na wachezaji waliokua wanajitolea wakidai mishahara yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe ujaangalia mpira ndo maana unaongea hivyo kakolanya anusikaje kwenye kufungwa yanga.
 
Bikra haijapona Kariobangi wakapiga vitatu.Ikabidi warushe ngumi kidonda kimewauma alaaah.Unafanya mchezo.Engineer pima hiyooo.
 
Back
Top Bottom