Kumbe yale maziwa ndo unakuwa umefika kileleni. Mimi akilia sana najua amefika kileleni..sasa kama unaongopa sijui ila najisemea hapa kazi nimeifanya hata kama nimepiga tako 3😆😆
Umeuliza swali kwa kejeli. Ndo maana nikakwambia hilo swali aliliiza Sir100 kwa kejeli hivyohivyo kwamba watu wanataka katiba mpya ilihali hawaijui katiba wala kipengele gani chakurekebishwa hawajui.So, hapo kosa likowapi hadi tunatoana akili? BTW wewe mwenyewe siyo GT, jinga fulani tu!
Kwa hiyo wewe hata sabufa haliwashwi😁😁😁Mechi ya kimyakimya sizipendelei sana na huwa nikipata mwanamke bubu basi sidumu nae. Napenda wale wanalilia dudu washa cause unahisi kama kazi unayoifanya unaifanya vyema hata kama unaibiwa. Ukikaa kimya najuaje sasa kama nakukoleza.
Unauliza swali ambalo Sir100 aliuliza?? Kuna watu wanajua mapungufu ya hiyo katiba ya sasa na wanadai mabadiriko. Si lazima wote tujue hata hao wachache wanaojua watatusaidia kurekebisha kwa faida ya wote.
Hawana wakumtulia mzigo zaidi ya Lisu/ Chadema. Ngoja report ijayo uone madudu yao, lazima Chadema wataingia hatiani kwamba wao ndo walisababisha vurugu ila hutosikia nani alitoa amri ya kuuwa watu au nani aliuwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.