Si wanasemaga kwa asili kila mtu anaharufu yake na wengine ndivyo walivyo hata wafanyeje. Nilisoma na jamaa miguu inatoaga maji kabisa, akivaa viatu hasa raba nyepesi basi utaona vidole vimejichora kabisa. Kuna mtu alisema atausugue vipi Mknd* kwa mabrashi na mapipa ya maji na sababu za marashi...
Baada ya kumaliza kuwashughulikia wanaSiasawa wa upinzani, sasa wamegeukiana na kuanza kuchapana wenyewe makonde ya nguvu kuhusu nani kuwa rais 2030 tena mapema sana hata ya Oct 29 hayajapoa wala kutolewa report yake.💥💥Acha wachapane maana washaanza kulalamika vifo vya ghafla vya wanasiasa wao!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.