Recent content by Joe Milla

  1. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania KCMC ikaangoni

    😁😁😁atagawana na kina Kibatala
  2. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania KCMC ikaangoni

    Duh! Ndo anadai 800M.Utajiri wa chap😁
  3. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania KCMC ikaangoni

    Aisee kwamba hakujurishwa kabla hawajakitoa?
  4. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania KCMC ikaangoni

    Wamrudishie kizazi chake au wamekitupa?!
  5. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche kuendelea kutoa ushahidi Mahakamani Sept. 11. 2026

    Ukitumia wewe inatosha.
  6. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna msanii mwenye vocals kumzidi Mariah Carey?

    Yeah, Belle 9, Ben pal...simsikii Rama D siku hizi.
  7. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna msanii mwenye vocals kumzidi Mariah Carey?

    Bora Rubby mkuu
  8. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna msanii mwenye vocals kumzidi Mariah Carey?

    Hii ngoma nashindwaga kuamua nani alimkalisha mwenzie kwenye sauti.
  9. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    😁😁😁😁Dah! Haina jinsi hii.
  10. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Kumbe yale maziwa ndo unakuwa umefika kileleni. Mimi akilia sana najua amefika kileleni..sasa kama unaongopa sijui ila najisemea hapa kazi nimeifanya hata kama nimepiga tako 3😆😆
  11. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche kuendelea kutoa ushahidi Mahakamani Sept. 11. 2026

    Umeuliza swali kwa kejeli. Ndo maana nikakwambia hilo swali aliliiza Sir100 kwa kejeli hivyohivyo kwamba watu wanataka katiba mpya ilihali hawaijui katiba wala kipengele gani chakurekebishwa hawajui.So, hapo kosa likowapi hadi tunatoana akili? BTW wewe mwenyewe siyo GT, jinga fulani tu!
  12. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Kwa hiyo wewe hata sabufa haliwashwi😁😁😁Mechi ya kimyakimya sizipendelei sana na huwa nikipata mwanamke bubu basi sidumu nae. Napenda wale wanalilia dudu washa cause unahisi kama kazi unayoifanya unaifanya vyema hata kama unaibiwa. Ukikaa kimya najuaje sasa kama nakukoleza.
  13. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche kuendelea kutoa ushahidi Mahakamani Sept. 11. 2026

    Unauliza swali ambalo Sir100 aliuliza?? Kuna watu wanajua mapungufu ya hiyo katiba ya sasa na wanadai mabadiriko. Si lazima wote tujue hata hao wachache wanaojua watatusaidia kurekebisha kwa faida ya wote.
  14. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Hisia zinapanda haraka sana kuliko ngoma ikipigwa kimyakimya.
  15. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche kuendelea kutoa ushahidi Mahakamani Sept. 11. 2026

    Hawana wakumtulia mzigo zaidi ya Lisu/ Chadema. Ngoja report ijayo uone madudu yao, lazima Chadema wataingia hatiani kwamba wao ndo walisababisha vurugu ila hutosikia nani alitoa amri ya kuuwa watu au nani aliuwa.
Back
Top Bottom