Ni muhimu kupata hii elimu na itaingia taratibu tu kwa walio wengi. Wanaofaidika na huo mfumo uliodumu makarne huko lazima wakasirike na washambulie kwanini unawasanua watu waliolala usingizi mzito ili waendelee kufaidika.Pia wapo watu ving'ang'anizi wa upande huohuo unaojaribu kuwaamsha...
Kwakweli huwa wanamitako na wazuri kwelikweli.Hapa inahitaji akili izidi hisia😄😄Hao wengi siraha yao ni kustarehesha wanaume na wanaume wamahitaji starehe.
Ukizama insta, Tik tok sijui utakutana nao hao mchawi kwao bando tu hawanaga kazi nyingine zaidi ya vizinga na kujipost. Yaan anakupigia...
Pamoja na madawa yake ila jamaa anaskills za mapigano balaa. Francis Ngannou anangumi nzito ila hana skills kama Bones nilitamani sana hili pambano litokee.
Hata hilo jibu Wamagharibi wanaweza kuruka nalo. Unajibu hamna vikwazo, huo ni ujeuri na kiburi kwamba unajifanya unawaweza na hawawezi kukuwekea vikwazo.Wataona ngoja tuweke sasa si katukumbusha anajitia ujeuri. Kwa muktadha wa swali na jibu lililotolewa ni kama ile kauli ya WHO ARE YOU? Hapo...
Vumilia mkuu, siku akigombana na jamaa yake atakuja kukutunuku maana hasira zao mda mwingine ni kukigawa kipochi chao wamkomoe mwanaume. Labda kuna siku ataona kuna kitu atafaidika kwako ila akishakipata atakuacha solemba kama kawaida.Mvumilivu hula mbivu,.. Akija chapa na ukae kijanja😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.