Recent content by Joe Milla

  1. Joe Milla

    Nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching)

    Kuna yule msanii wa Congo anaitwa Nyoshi sijui.Alikuwa anahojiwa anasema kabisa yeye anapiga mkorogo. WaCongo bhana😀😀
  2. Joe Milla

    Nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching)

    Aah wapi...Mayele tu ndo alikuwa na rangi yake😀😀
  3. Joe Milla

    MPYA Umeshawahi Kujiuliza Kwanini Ombaomba Wengi Hawana Kipara?

    Wananyolewa 😀
  4. Joe Milla

    Unafanyaje usafi wako wa mwili?

    Uanataka ukamuonyeshe nani?!
  5. Joe Milla

    Marekani kuwasilisha mpango wa Vipengele 15 Kumaliza vita, Iran yadai hakutakuwa na Makubaliano kamwe

    Sawa mkuu ngoja tuone sababu Trump mwenyewe analalama NATO hawataki kusaidia.
  6. Joe Milla

    Unafanyaje usafi wako wa mwili?

    Asante sana pia
  7. Joe Milla

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hawa jamaa hivi wanalengo la kusitisha hii vita au ndo wanazugana tu maana wanasema wakae waizungumzie ila bado wanabondana tu.
  8. Joe Milla

    Unafanyaje usafi wako wa mwili?

    Ulitaka anuke kama nani/nani? Unajua harufu za watu wote?
  9. Joe Milla

    Unafanyaje usafi wako wa mwili?

    Si wanasemaga kwa asili kila mtu anaharufu yake na wengine ndivyo walivyo hata wafanyeje. Nilisoma na jamaa miguu inatoaga maji kabisa, akivaa viatu hasa raba nyepesi basi utaona vidole vimejichora kabisa. Kuna mtu alisema atausugue vipi Mknd* kwa mabrashi na mapipa ya maji na sababu za marashi...
  10. Joe Milla

    Unafanyaje usafi wako wa mwili?

    Sahizi vitambi viko kwa wote mkuu
  11. Joe Milla

    Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia

    Baada ya kumaliza kuwashughulikia wanaSiasawa wa upinzani, sasa wamegeukiana na kuanza kuchapana wenyewe makonde ya nguvu kuhusu nani kuwa rais 2030 tena mapema sana hata ya Oct 29 hayajapoa wala kutolewa report yake.💥💥Acha wachapane maana washaanza kulalamika vifo vya ghafla vya wanasiasa wao!!
Back
Top Bottom