Recent content by Joe Milla

  1. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Watanzania majembe wanaommaliza Samia huko US

    Hapa jamaa ndo kavaa hijab😁😁
  2. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Hakikisha mda wote nyumbani kwako haukosi dawa za dharula

    Shukrani Dr.🙏
  3. Joe Milla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Ni muhimu kupata hii elimu na itaingia taratibu tu kwa walio wengi. Wanaofaidika na huo mfumo uliodumu makarne huko lazima wakasirike na washambulie kwanini unawasanua watu waliolala usingizi mzito ili waendelee kufaidika.Pia wapo watu ving'ang'anizi wa upande huohuo unaojaribu kuwaamsha...
  4. Joe Milla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

  5. Joe Milla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Ndo hivyo mkuu game imebadirika, pambana tu utaolewa.
  6. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Nidhamu yako ya pesa huwa inarudi ukibakiza kuanzia kiasi gani?

    Siyo miguu ya kuku mzee..inaitwa MBIO!😁😁Ndo tunaishi mzee
  7. Joe Milla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Kwakweli huwa wanamitako na wazuri kwelikweli.Hapa inahitaji akili izidi hisia😄😄Hao wengi siraha yao ni kustarehesha wanaume na wanaume wamahitaji starehe. Ukizama insta, Tik tok sijui utakutana nao hao mchawi kwao bando tu hawanaga kazi nyingine zaidi ya vizinga na kujipost. Yaan anakupigia...
  8. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Hakikisha mda wote nyumbani kwako haukosi dawa za dharula

    Cipro pia
  9. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania UFC & Mixed Martial Arts

    Pamoja na madawa yake ila jamaa anaskills za mapigano balaa. Francis Ngannou anangumi nzito ila hana skills kama Bones nilitamani sana hili pambano litokee.
  10. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania UFC & Mixed Martial Arts

    Yule sijui Jon Jones anaroho mbaya sana. Anapiga mno
  11. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Hata hilo jibu Wamagharibi wanaweza kuruka nalo. Unajibu hamna vikwazo, huo ni ujeuri na kiburi kwamba unajifanya unawaweza na hawawezi kukuwekea vikwazo.Wataona ngoja tuweke sasa si katukumbusha anajitia ujeuri. Kwa muktadha wa swali na jibu lililotolewa ni kama ile kauli ya WHO ARE YOU? Hapo...
  12. Joe Milla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usikubali kuonewa huruma, unastahili heshima

    Vumilia mkuu, siku akigombana na jamaa yake atakuja kukutunuku maana hasira zao mda mwingine ni kukigawa kipochi chao wamkomoe mwanaume. Labda kuna siku ataona kuna kitu atafaidika kwako ila akishakipata atakuacha solemba kama kawaida.Mvumilivu hula mbivu,.. Akija chapa na ukae kijanja😁
  13. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    😁😁😁😁Duh! Kajitahidi basi angalau kajaza nafasi iliyowazi, hakuacha nafasi ya jibu wazi.
  14. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Mkuu maswali huwa yanakuwa ya papo kwa papo au hupewa kabla?!
  15. Joe Milla

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Hili jibu linaonekana refu kwa kiswahili ila ukiliweka kwa lugha ya kimalkia ni jibu fupi sana.
Back
Top Bottom