Recent content by Joe Elly

  1. J

    Arusha - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Tengeru chama hapa Arumeru Mashariki hali ni shwari watu especially vijana wamejitokeza kwa wingi sana.GOD BLESS TZ.
  2. J

    Walichofanya juu ya Mkapa vijana wenye hasira Masasi ni ujumbe mzito kwa Kikwete

    Hiyo ni alert kwa JK acje akasogelea pande hizo coz vijana wale wanaweza fanya mambo makubwa sana kwake.....
  3. J

    MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

    Hayo yako mkuu..kwa taarifa yako Akheri CCM wamelia xaana....
  4. J

    MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

    Mkuu tunaomba ujielewe kidogo...hayo matokeo ni yako tena ni ya uongo...kuna vituo umetudanganya..Ambureni, Patandi..kote CDM wameongoza..
  5. J

    Uteuzi wa Sioi batili - Wajumbe UVCCM Arusha

    its too bad for them and good for ...:A S-coffee: (chadema)
  6. J

    Matokeo ya form four yanatupa picha gani sisi kama wanajamii?

    jamani kama matokeo yalivyoonyesha wadogo zetu wamefeli sana hasa katika shule za kata,,je,wote waliofeli wataenda wapi??naombeni mchango wenu wanajamii...:A S-confused1::help:
  7. J

    Matokeo ya kidato cha nne yanatisha

    eti nani alaumiwe kwa kufeli huku....?
  8. J

    Pinda na Makinda wampa changamoto Kikwete. Je watajiwajibisha au kuwajibishwa?

    as far as I know ni kwamba Rais anatudanganya kwasababu wabunge walishaanza kulipwa tangu kikao kilichopita na zilianzaje kutolewa kama hazikubarikiwa na Rais? Rais hana msimamo.......
  9. J

    Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

    Rest in peace Jèremia.Sumari...........poleni wanakwetu.....
Back
Top Bottom