Kwa nini jamaa anaitwa Sioi?
Nilishawahi kuandika kuwa kwa CCM rushwa haizuiliki wala haitaisha hivi karibuni ni given kama PIE, hata Takukuru wanalijua hilou kiwauliza watakuambia hawakuona kitu usipoangalia wanaweza kukugeuzia kibao. Igunga walikuwa wakiitwa na wasamalia wema walichokuwa wanakifanya ni kumpigia simu mtoa rushwa kuwa kuna mtu amekuona sisi tutakuja saa fulani.CCM na rushwa ni kama kuku na yai, huwezi jua kipi kilianza!