Kuwa na torrent kwenye laptop na nadhani unayo, kwa sababu za uzi wako uendelee ngoja nijibu tu. Google hizi website torrent, piratebay.org rargb.movie kickass torrent, yts torrent, otorrent, ziko nying sana hizo ni za movie Hd na latest, kushusha hizo movie sio la kuelekezwa najua uko smart enough.
Mara nying inakuwa vitu vitatu, battery imechoka, oil unayotumia sio sahihi hivyo kusababisha hilo kutokea, weka oil sahihi ya nissan, na mwisho inawezekana kuna unyevu au maji kwenye line ya mafuta, hivyo flush line na tank liwe safi kabisa kisha weka mafuta mapya, kwa hayo tatizo litakuwa...
Muhamadi aliishi miaka 61, yesu 35, wewe unataka ufikishe miaka mingapi? Unakonywa soda, ukiwekwa sumaki tumboni hapo inaganda ugali ulokula una vyuma vilivyotoka kwenye mashine ya kusagia unga, gas upikiayo, nk hivyo usitake kusema cancer kushoto ukasahau kulia, acha watu waishi vizur wote...
Hakuna xtrail ya kupata km hizo, nying ni 8- 9 kwa wastani, na ni reliable kuliko rav 4, au compact suv zingine. Kikubwa ni matunzo ambayo ni service kwa wakti, usafi, na hakikisha hutembelei kidebe hayo tu.
Habari za week end wandugu? Naomba kupata uzoefu kwa mwenye Nissan murano, Nimezifatilia hizi gar nimependa ukubwa wake na nafasi ilonayo ndani. Ila nilisoma uzi mmoja wa nje kuwa zina shida sana katika gear box na umeme yani haziko reliable kama prado au x trail. Mwenye uzoefu nazo tafadhali...
Ilitakiwa uongeze oil na sio kubadili, mie ilinitokea kwenye prado sx, ilikuwa kubadili gear mtihani inabd ukanyage kwel, lakin baada ya kufanya safar ndef ikarudi kawaida, baada ya kuanza kudadisi shida ilikuwa kutoa oil yote. Hivyo vizur kuongeza na sio kubadiisha yote.
Hiyo check air flow meter, au njia za upepo, njia ya fundi wako kujua ni kuwasha gar anapuliza spray kwenye kila maunganusho ataona ni wapi inavujisha upepo kwenye engine, nadhan ni hilo niliwahi ona garage gar ilokuwa na shida hiyo ikirekebishwa kwa vitu hivyo viwil.
Tribute ninayo, spare ni mtihani ingawa unaweza tumia mda mref sana bila shida. Mafuta ziko kama gar zingine kwa size yake inapiga km7 lita moja. Kama unanunua jiandae hayo
Inategemea na ya mwaka gan, lkn nying hapa bongo ni 2006 kuja chin. Elf 4 kuja juu hiyo haitosh lkn elf 2 na tatu chini unapata agent fee na gharama zingine za bandar na wese la kufkia chunya
Yah na pia hata lengo hakulifkia, alitaka tununue 1800 lakini hiyo yake anauza elf 2. Ss point ya kukatataa bei ya mwanzo sijaipata bado. Ss hv kuna mazao yanasuasua sababu wanunuzi wamekumbatia pesa zao, hivyo badala ya kumboresha mkulima anamkandamiza mkulima.
Hello mshana asante sana kwa kutujuza khs magari. Nnaomba kufahama hizi jeep grand cherokee ya mwaka 2002 ina tumia mafuta kiasi gan kwa matumiz ya hapa dar? Na pia oil filter zake ziko bei gan na gharama za service kwa ujumla kama naweza jibiwa itakuwa vzr, nina mpango wa kununua cc 4000.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.