Recent content by jobless tycoon

  1. jobless tycoon

    JamiiForums Tanzania Kwako Waziri Mkuu: Suala la kuuza vyakula nje

    Tusiwafanye wakulima wa Tanzania kama misukule wetu........na wenyewe pia wanafamilia na wanatamani kuwa matajiri. Kimfaacho mtu chake.....
  2. jobless tycoon

    JamiiForums Tanzania Barua kwa Wazazi Kutoka kwa mkuu wa Shule St. Charles Borromeo. Serikali ipo wapi? Mama Samia upo wapi?

    Sasa mwanao huko shule ataenda kula chakula alichonunua nani? Walimu nao wakusubiri ujipange ndio wapate mshahara...?
  3. jobless tycoon

    JamiiForums Tanzania Hussein Bashe ni janga kubwa kwa taifa letu. Hatufai leo, hatufai kesho na hatufai kesho kutwa!

    Hao ishu sio njaa...ni kipato....
  4. jobless tycoon

    JamiiForums Tanzania Barabara ya Ferry Kigamboni mpaka Kongowe

    Mkuu nashukuru umeliona hilo,
  5. jobless tycoon

    JamiiForums Tanzania Huyu mgonjwa wa mguu makutano ya Ubungo anajimaliza mwenyewe

    Huyu jamaa kweli ni mgonjwa, anakidonda kikubwa sana ila ni mteja, hospital alishauriwa ukatwe akagoma, unamtesa sana, sema uteja kauweka mbele.Maskan yake ubungo maziwa bondeni kule
  6. jobless tycoon

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Baby Lawyer wa UDSM mwaka 2011

    Nilikaanae block c mabibo tukiwa mwaka wa mwisho pamoja na akina culture na marehemu Njau, Njau yy alipata ajar Dom, zn baada ya muda sio mrefu Baby lawyer nae akapata ajari. Shukran sana kwa kumkumbuka hyu jamaa
  7. jobless tycoon

    JamiiForums Tanzania Jicho la mwewe lamnanga Zitto ...yeye auchuna!

    Wangemuuliza RC au DC......nae angekuwa na jibu zuri tu.....
  8. jobless tycoon

    JamiiForums Tanzania Hivi wasimamizi wa uchaguzi hawatakiwi kuwa wanachama wa chama cha siasi kisheria?

    Hiv ukiwa mbunge au diwani hutakiwi kuwa wakala wa mgombea kwenye uchaguzi kisheria?
  9. jobless tycoon

    JamiiForums Tanzania Huyu alikuwa ni hazina ya CHADEMA

    Unajipigia promo......
  10. jobless tycoon

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kusimamisha kampeni kesho jimbo la Kinondoni ili kuhudhuria mazishi ya Kingunge Ngombare Mwiru

    Msiba wa familia ule bana tuache kupeleka siasa kwenye mfamilia za watu....mwenyewe kasema kasema azikwe kikatoliki hajasema azikwe na ccm au cdm.....
  11. jobless tycoon

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kusimamisha kampeni kesho jimbo la Kinondoni ili kuhudhuria mazishi ya Kingunge Ngombare Mwiru

    Baba unagombea maiti......je ukifika muda wa kugawana mirathi si itakuwa balaaa.....
  12. jobless tycoon

    JamiiForums Tanzania Frankie Maston - Kipaji chenye utata Sampuli ya Wanaume wa Dar

    Mwanaume hyu
  13. jobless tycoon

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco mumetufanya nn tena kigamboni tunajiandaa kutoka tunapiga pasi, umeme mumekata......munatunyanyasa bana
Back
Top Bottom