Recent content by jobfinder

  1. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering

    Hizi kazi nili apply ila inasemekana habari sio za kweli kuhusu hizi kazi.habari kutoka kwa watu wa karibu sana na utawala.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering

    Bado mkuu hali mbaya sanaaa.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Biomedical Engineering in East Africa

    Niunganishe.
  4. J

    JamiiForums Tanzania Biomedical Engineering in East Africa

    ni 1.3 mkuu nilikosea.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Biomedical Engineering in East Africa

    Mni pm na mimi nipo kwenye field hiyo.tukikutana tutajua pa kuanzia.ila mishahara ya kuanzia nasikia ni 1.3,perdiem ni elfu 80.kazi nyingi sana.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

    Mbona unaanza kujihami kuwa hujatumwa?Thibitisha.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Zitto Kabwe kuaga rasmi Bungeni - Machi 20, 2015

    Waraka umetengenezwa si autolee ufafanuzi?
  8. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering

    mkuu wewe noma sana.big up
  9. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering

    Mkuu hii naifanyia kazi haraka sana.
  10. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering

    mkuu nimeshakutumia,thanks.
  11. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering

    Nakisikia sana hicho kitabu,ngoja nikitafute.
  12. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering

    nitarudi kuleta mrejesho mkuu.
  13. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering

    Asante mkuu,nimemaliza 2013.mimi ninachokiona ni mikosi ila wadau wengi wanapata kazi.
  14. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering

    mkuu hawa jamaa wa humu wana upendo wa kweli,ndomaana nilileta tatizo langu huku.hawa ni ndugu,si unaona wanavyotupia mau-shauri ya nguvu?
  15. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering

    wazo lako ni zuri na limezidi kunijenga mkuu.
Back
Top Bottom