Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering

Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering

Hapana mkuu usiseme mikosi endelea kupigana kwa 2013 sasa hv sio muda wa kugiveup kuna program ya ERB inaitwa SEAP nafikiri ungeomba hiyo kwanza huwa wanatoa hela ya nauli kidogo ila ukipelekwa office serious wanakuongezea hiyo itakulahisishia kutafuta kazi bila stress sana....maana kazi ukitafuta na stress kuipata inakuwa shughuli mkuu.......kwani si umemaliza bachelor na ni chuo gani?

Mkuu hii naifanyia kazi haraka sana.
 
Mkuu pole sana.kuna wakati huwa nawaambia vijana kuwa shule na mtaani ni dunia mbili tofauti japo zinafanana,kuathiriana na kukamilishana.
Ushauri wangu kwa sasa ukiwa bado unatafta uajiriwe hebu fanya yafuatayo
1.Kusanya wenzako watano wasio na kazi waliosoma kozi kama yako au IT.
2.Tafteni sh.30,000 kila mmoja(najua huna pesa ila unaweza kuomba kwa ndugu rafiki au jirani au kuangalia any redundant asset ulio nayo ambayo huna matumizi nayo na iuze upate mtaji).jumla mtakuwa na sh.150,000
4.Tafteni fremu uswahilini isiyozidi 50,000 kwa mwezi
3.Fungueni ofisi ya kutengeneza vifaa vya electronics kama simu,computer nk. Toeni huduma za kuinstall software za simu na computer, burn cd, uzeni vifurushi vya tigo,voda nk
4.Kila mmoja aombe kiti kimoja nyumbani na alete ofisini
5.In case kama mmoja wenu alibahatika kununua friji akiwa chuo au analo nyumbani,basi lileteni ofisini na uzeni maji ya kufunga ya viroba. Kila kiroba ni sh 100. Pesa mtakayoipata kwa kuuza maji itawasaidia kupata nauli.
Baada ya miezi mitatu njoo hapa itupe mrejesho.
Kila la kheri

xiexie kwa hili na mimi nakupa xiexie ubarikiwe sana,great idea japo mimi si mtu wa industry hiyo lakini kuna kitu nimejifunza. Again xiexie!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu pole sana.kuna wakati huwa nawaambia vijana kuwa shule na mtaani ni dunia mbili tofauti japo zinafanana,kuathiriana na kukamilishana.
Ushauri wangu kwa sasa ukiwa bado unatafta uajiriwe hebu fanya yafuatayo
1.Kusanya wenzako watano wasio na kazi waliosoma kozi kama yako au IT.
2.Tafteni sh.30,000 kila mmoja(najua huna pesa ila unaweza kuomba kwa ndugu rafiki au jirani au kuangalia any redundant asset ulio nayo ambayo huna matumizi nayo na iuze upate mtaji).jumla mtakuwa na sh.150,000
4.Tafteni fremu uswahilini isiyozidi 50,000 kwa mwezi
3.Fungueni ofisi ya kutengeneza vifaa vya electronics kama simu,computer nk. Toeni huduma za kuinstall software za simu na computer, burn cd, uzeni vifurushi vya tigo,voda nk
4.Kila mmoja aombe kiti kimoja nyumbani na alete ofisini
5.In case kama mmoja wenu alibahatika kununua friji akiwa chuo au analo nyumbani,basi lileteni ofisini na uzeni maji ya kufunga ya viroba. Kila kiroba ni sh 100. Pesa mtakayoipata kwa kuuza maji itawasaidia kupata nauli.
Baada ya miezi mitatu njoo hapa itupe mrejesho.
Kila la kheri

mkuu xiexie,chukua like yangu ya maneno,hii kwangu ndio post nzuri sana kwa wiki hii mpaka sasa.
Ubarikiwe sana
 
Kipaombele cha taifa Science ila utapata kazi hiyo Electronics itakupa kazi wenzio wa Civil hapa wanashindwa kujenga hata karavati la barabara!
 
jobfinder hebu lete cv yako huku kwenye PM. Sana tujue unaweza kufanya nini hasa sekta binafsi wakati unasubiri kuajiriwa sijui wapi huko. Karibu.
 
Last edited by a moderator:
Azam Tv kupitia kitengo cha Broadcasting&Transmission wanatafuta 4 engineers. Qualifications ni Must have engineering degree in electronics & communication, Must be proficient in Computer networks & Server system, Cisco Microsoft certifications will be added advantage, Media experience is preferred.Candidates watume Cv zao na academic certificates zao kwenye email recruitment@azam-media.com.
👆 sambaza kma una watu wenye sifa na uhitaji
 
Mkuu pole sana.kuna wakati huwa nawaambia vijana kuwa shule na mtaani ni dunia mbili tofauti japo zinafanana,kuathiriana na kukamilishana.
Ushauri wangu kwa sasa ukiwa bado unatafta uajiriwe hebu fanya yafuatayo
1.Kusanya wenzako watano wasio na kazi waliosoma kozi kama yako au IT.
2.Tafteni sh.30,000 kila mmoja(najua huna pesa ila unaweza kuomba kwa ndugu rafiki au jirani au kuangalia any redundant asset ulio nayo ambayo huna matumizi nayo na iuze upate mtaji).jumla mtakuwa na sh.150,000
4.Tafteni fremu uswahilini isiyozidi 50,000 kwa mwezi
3.Fungueni ofisi ya kutengeneza vifaa vya electronics kama simu,computer nk. Toeni huduma za kuinstall software za simu na computer, burn cd, uzeni vifurushi vya tigo,voda nk
4.Kila mmoja aombe kiti kimoja nyumbani na alete ofisini
5.In case kama mmoja wenu alibahatika kununua friji akiwa chuo au analo nyumbani,basi lileteni ofisini na uzeni maji ya kufunga ya viroba. Kila kiroba ni sh 100. Pesa mtakayoipata kwa kuuza maji itawasaidia kupata nauli.
Baada ya miezi mitatu njoo hapa itupe mrejesho.
Kila la kheri

Mkuu wewe ndo umesoma na umeelimika hao wengine ni makanjanja tu. Mkuu tatizo la vijana wengi ni "expectation"
 
Mkuu pole sana.kuna wakati huwa nawaambia vijana kuwa shule na mtaani ni dunia mbili tofauti japo zinafanana,kuathiriana na kukamilishana.
Ushauri wangu kwa sasa ukiwa bado unatafta uajiriwe hebu fanya yafuatayo
1.Kusanya wenzako watano wasio na kazi waliosoma kozi kama yako au IT.
2.Tafteni sh.30,000 kila mmoja(najua huna pesa ila unaweza kuomba kwa ndugu rafiki au jirani au kuangalia any redundant asset ulio nayo ambayo huna matumizi nayo na iuze upate mtaji).jumla mtakuwa na sh.150,000
4.Tafteni fremu uswahilini isiyozidi 50,000 kwa mwezi
3.Fungueni ofisi ya kutengeneza vifaa vya electronics kama simu,computer nk. Toeni huduma za kuinstall software za simu na computer, burn cd, uzeni vifurushi vya tigo,voda nk
4.Kila mmoja aombe kiti kimoja nyumbani na alete ofisini
5.In case kama mmoja wenu alibahatika kununua friji akiwa chuo au analo nyumbani,basi lileteni ofisini na uzeni maji ya kufunga ya viroba. Kila kiroba ni sh 100. Pesa mtakayoipata kwa kuuza maji itawasaidia kupata nauli.
Baada ya miezi mitatu njoo hapa itupe mrejesho.
Kila la kheri

Nakupongeza sana bana.
Hata mie ningependa nikufahamu nawe unifahamu.
Unayo akili nayoipenda.

Yani kuna vijana huwa nawaambiaga kua tuuze tangawizi na uji wa urezi,mihogo na viazi vya kuchemsha wananicheka.

Barikiwa sana na lazima Mungu atakufanya kuwa kichwa na mafanikio yatakufuata ulipo popote na endelea na roho hiyohiyo
 
Watanzania inabidi hizi ideology za kuajiriwa mziache, simply because hakuna kazi huko nje unless uko competitive sana... Mtu aliyesoma hadi akamaliza na ana kitu flani kichwani sioni kinachomzuia kusakua mtaji hata kwa kazi za chini akakusanya akafanya kitu kikubwa,Hamna kuanzia milioni mia, siku zote mtu anaanzia chini kwanza anakuja juu polepole, special case ni kama uwe na wazazi wenye mshiko mrefu lakini otherwise huna option zaidi ya kuanzia chini
 
Nakupongeza sana bana.
Hata mie ningependa nikufahamu nawe unifahamu.
Unayo akili nayoipenda.

Yani kuna vijana huwa nawaambiaga kua tuuze tangawizi na uji wa urezi,mihogo na viazi vya kuchemsha wananicheka.

Barikiwa sana na lazima Mungu atakufanya kuwa kichwa na mafanikio yatakufuata ulipo popote na endelea na roho hiyohiyo

Mkuu watanzania hatuamini mpaka tuone, sasa wewe fanya na uwe mfano kwao. Wakiona umefanikiwa watajifunza. Kitu cha muhimu ni kuwa usiangalie jamii itasemaje ikikuona unafanya kazi ambazo hata asiesoma anafanya. At the end of the day WATAKUHESHIMU na utawaajiri wakutimizie ndoto zako.
 
Back
Top Bottom