Hamahama ya Alphayo Kidata. Kwa dharau na hujuma alizowahi kumfanyia Mama T alipokuwa Waziri wa Ardhi naye akiwa Katibu Mkuu wake atazunguka sana.
Habari za Wizarani zinasema Mama T alimpigia chapuo Kidata kwa Rais Kikwete awe Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi baada ya Katibu Mkuu Rutabanzibwa...
Stella Manyanya jana anadai anauchungu kuzungumza CHADEMA hawakuzingatia jinsia? Leo anajua kutetea wanawake? Mbona hatukumsikia akisimama kumtetea mwanamke Mwenyekiti wa wanawake CCM Taifa Sofia Simba, aliyefukuzwa uanachama, tena kwa kosa sawa kabisa na wenzie, manake kama ni kutoka nje...
Kwanza niwapongeze sana wana Cdm kwa uteuzi mzuri wa wagombea ambao wanakidhi viwango kabisa tena sana. Mambo ya gender ni propaganda tu kwa wasio elewa.
Masikitiko yangu ni ujuaji mwingi unao fanywa na baadhi ya viongozi ktk chama na ndio walio waharibia wagombea wa CDM. MUCH KNOWS. Spika...
Acha polojo wewe goloko kama jina lako,lete ushahidi au peleka kwa mahakama.Punguza taharabu hazisaidiii,muda wa KAZI TU....Mlio zoea kula kwa maneno yasiyo na tija wala mashiko imekula kwenu
Maelezo yanajitoshereza sawa sawa kabisa,labda tuwachie wazee wa majungu wanao tendea kazi matumbo yao make ndio kazi yaho hapa,bila ivyo mkono hauendi kinywani
Taarifa. Sina plot hata moja Kigamboni. Mwenye ushahidi tofauti aulete. Viwanja vya Kisota ni mali ya ushirika wa wanawake wa nyumba. Viwanja hivyo walipewa na Waziri wa Ardhi aliyenitangulia Mhe John Chiligati. Mimi wakati huo nikiwa UNHABITAT.
Jambo moja linalonishangaza na kunisikitisha...
Taarifa. Sina plot hata moja Kigamboni. Mwenye ushahidi tofauti aulete. Viwanja vya Kisota ni mali ya ushirika wa wanawake wa nyumba. Viwanja hivyo walipewa na Waziri wa Ardhi aliyenitangulia Mhe John Chiligati. Mimi wakati huo nikiwa UNHABITAT.
Jambo moja linalonishangaza na kunisikitisha...
TAHADHARI!TAHADHARI!TAHADHARI!TAHADHARI!
NDUGU ZANGU WAPENDWA,NAPENDA KUWATAHADHARISHA JUU YA UKURASA HUU WA FACEBOOK KAMA UNAVYO ONEKANA HAPO CHINI.
UKURASA HUU SIO WA KWANGU WALA SIUFAHAMU,IVYO BASI NA TAARIFA ZOTE ZILIZOANDIKWA KWENYE UKURASA HUU HAZITOKI KWANGU,
WALIO TENGENEZA UKURASA...
TAHADHARI!TAHADHARI!TAHADHARI!TAHADHARI!
NDUGU ZANGU WAPENDWA,NAPENDA KUWATAHADHARISHA JUU YA UKURASA HUU WA FACEBOOK KAMA UNAVYO ONEKANA HAPO CHINI.
UKURASA HUU SIO WA KWANGU WALA SIUFAHAMU,IVYO BASI NA TAARIFA ZOTE ZILIZOANDIKWA KWENYE UKURASA HUU HAZITOKI KWANGU,
WALIO TENGENEZA UKURASA...
My encounter with Mwalimu On Womens Rights and the formation of BAWATA
by Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka,
Member of Parliament for Muleba South and Founding Chairperson of BAWATA.
While I have been for the most part an academic and therefore far removed from political and administrative...
Wakuu habari za muda huu,kama ilivyo ada nawaletea facts tupu bila majungu wala upendeleo wowote.
Nawaomba tutumie muda tulivu kuyasoma na kuyachambua kwa umakini.
Ni hivi,muda wa kuweka mambo yote hadharani sasa umefika,hakuna la kuficha tena...Hili sakata ambalo kila kukicha watanzania...
Mkuu upo sahihi sana,ushabiki wa kijinga ulitupoteza ,watu wakashindwa kuelewa hasa wizi wenyewe wa pesa ulivyo fanyka??
Gavana katika hili hawezi kuchomoka kama kuna watu anawalinda sasa wakati wake umeisha ni zama za ukweli sasa chini ya JPM.Nyakati za kuishi kiujanja ujanja na kulinda wezi...
Tulikaa kuwabana wasio husika, masikini wengine wakina mama Tibaijuka wakatolewa kafara,wezi wenyewe wapo wanatanua na pesa za wizi na hawaguswi.
MPAKA LEO HAKUNA HATA MMOJA ALIYE POKEA PESA TENA AMBAZO HAZIKULIPIWA KODI KABISA KUPITIA STANBIC AMBAYE ANAFAHAMIKA WALA KUCHUKULIWA HATUA
DHAMBI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.