Hapo nyuma tuliona viongozi wa serikali wakiwa bize kutafuta kina nani wameficha sukari. Leo kila kiongozi yupo kimya je tatizo limeisha au ulikuwa ni usanii tu.
Leo hapa Tabora kilo ya sukari tunanunua kuanzia shilingi 4,000/= mpaka 6,000/= za kitanzania. Kinachonishangaza sukari yenyewe ni ya...
Serikali iliongelea hili jambo na ikasema italikomesha lakini naona bado hii biashara inaendelea.
Je, ni kwamba wamewashindwa au rushwa imewazidi nguvu hata RAIS wa nchi hii inadharauliwa na hawa wenye vikampuni uchwara.
Naomba wanaojua kinachoendelea watupe majibu.
Mbona vilaza kibao wanaofisi za maana, nilisoma na jamaa akapata carry over lakini kaajiriwa na benki kubwa tu baadae ndio akaenda kumalizia kozi yake.
Kwa kweli bila kujuana na mtu katika hii nchi kupata ajira ni ngumu hakuna mfano. Usione jamaa wanafanya kazi alafu unaambiwa nilituma maombi tu nikaitwa kwenye usaili wengi ni waongo ila walishikwa mikono na jamaa au rafiki zao.
Kwa nilioshuhudia wamepita kwa njia nilioeleza hapo juu.
1...
Kumbe wewe paper na vitabu vyako ni kuhusu Waislamu tu jinsi wanavyoonewa mbona kuna Waislamu wengi matajiri nchi hii huo uonevu huko wapi. Kuhusu elimu nimekuambia jambo lililotokea hapo Mkuranga wanasema bora watoto wakasome madrasa kuliko elimu ya Mzungu hiyo nayo ni hujuma ya Nyerere.
Naona jamaa zako hapo Mkuranga wanakataa kupeleka watoto shule wanasema bora wakasome madrasa tena anaambiwa mbunge wao Mh Adam Malima. Alafu unakuja hapa kutoa povu kwamba mnaonewa tena mshukuru uwepo wa Nyerere alielazimisha kila mtoto lazima aende shule, leo baada ya Mwalimu kuondoka hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.