Recent content by Jnkina

  1. J

    Polisi waliofukuzwa kazi warudishwa kazini!

    Eti kwa kuwa yeye hajapiga picha na 'winfomu' kwi kwi kwi kwiii
  2. J

    Polisi waliofukuzwa kazi warudishwa kazini!

    Wamrudishe tu bhana mshikaji wangu Mpaji Asuma Mwasumbi classmate wangu Kantalamba A-level 2004
  3. J

    Polisi waliofukuzwa kazi warudishwa kazini!

    We bado ulikuwa unategemea kulindwa na polisi hadi leo? Wale waliomuua Mwangosi?wale waliowapora majambazi pesa Kariakoo wakatokomea nazo? You can't be serious mkuu.
  4. J

    Ideos Google used inauzwa.

    ....!!!!,
  5. J

    Ideos Google used inauzwa.

    Nauza simu tajwa hapo juu, iko poa na haina tatizo lolote, inatumia line ya tiGO tu. Unapewa na charger tu. Bei 80,000/= Nipo DSM. Pm inahusika.
  6. J

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    kwani ngapi ngapi game ya leo? Niko Msoga huku sijui lolote..
  7. J

    Arusha: Chadema yaendelea kuitesa CCM Sombetini

    Naomba unisaidie kusoma ulichoandika ,KAMA UNAWEZA.
  8. J

    Msaada please, Urgent..!

    Thanks a lot guys for your help, you guys you rock... I knew it... Thanks Kang
  9. J

    Mnyika Jiandae: Kiongozi wa Upinzani aliyemfananisha Rais na Kiazi Kizimbani

    Huyo wa Zambia anapaswa kuchukuliwa hatua kwa kuwa ni kweli Satta sio kiazi, Ila kwa Mnyika sahau kwa kuwa ni kweli JK ni DHAIFU. Na Kapuya amethibitisha hilo.
  10. J

    Msaada please, Urgent..!

    Kila nikijaribu ina boot kama awali. No difference hata niki hold hizo buttons.,
  11. J

    Msaada please, Urgent..!

    Guys I'm still in need of your help.
  12. J

    Msaada please, Urgent..!

    Mkuu Kila nikiingiza Email na pswd inaniambia 'checking' then ina fail. Naendelea kujaribu
  13. J

    Msaada please, Urgent..!

    Thanks mkuu, japo najaribu inaendelea kunipa the same screen, naendelea kujaribu.
  14. J

    Msaada please, Urgent..!

    Mkuu hiyo hard reset naifanyaje!?
  15. J

    Mwenyekiti wa CHADEMA Temeke Joseph Yona, apigwa na kuumizwa vibaya!

    Mna uhakika gani kama CHADEMA ndio waliompiga!?
Back
Top Bottom