We bado ulikuwa unategemea kulindwa na polisi hadi leo? Wale waliomuua Mwangosi?wale waliowapora majambazi pesa Kariakoo wakatokomea nazo? You can't be serious mkuu.
Huyo wa Zambia anapaswa kuchukuliwa hatua kwa kuwa ni kweli Satta sio kiazi, Ila kwa Mnyika sahau kwa kuwa ni kweli JK ni DHAIFU. Na Kapuya amethibitisha hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.