Wakuu simu yangu (Google Ideos) imeji lock baada ya Bwana mdogo kuingiza wrong unlock patterns zaidi ya mara tano, Inanitaka niingize E mail na Password ili kui unlock, lakini tatizo ni kuwa wireless internet iko off. Kama kuna ujanja mwingine naomba mnisaidie.
C.C CHIEF MKWAWA, C6 na wengineo.
C.C CHIEF MKWAWA, C6 na wengineo.
Last edited by a moderator: