Recent content by jmwanse

  1. jmwanse

    Zao la cocoa Wilaya ya Kyela

    Lkn tunashukuru Rais JPM leo kwenye hotuba yake amegusia habari za kokoa alipokuwa anampa maelekezo waziri mpya wa kilimo. Ngoja tuone!
  2. jmwanse

    Huyu ndiye kiongozi mwenye mamlaka makubwa duniani kuliko mtu wa aina yoyote

    Nadhani ni kweli. Maana isingekuwa kweli wahusika wangetoa tamko. Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  3. jmwanse

    Hanspope atua katika ‘Mikono salama’; Mahakama ya Kisutu yamwachia kwa dhamana...

    Nadhani kaipima hiyo kesi yake akaona hatamletea madhara yoyote, ndo maana kajileta. Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  4. jmwanse

    CNN: 'Don't use birth control,' Tanzania's President tells women in the country

    Si kila jambo ni kuiga western country. Hatuwezi kupangiwa watoto wetu. Sisi tuzae sambamba na kiwango cha uchumi wetu. Mi naona Magu yupo sawa tu.
  5. jmwanse

    CNN: 'Don't use birth control,' Tanzania's President tells women in the country

    Kwani Magu alipinga huo mpangilio wa kuzaa? Hapana tusimwelewe vibaya. Yeye alitutaka tuzalishe zaidi ili pia tuweze kuwa na idadi kubwa ya watoto ambao tutaweza kuwamudu.
  6. jmwanse

    Rais Magufuli aachane na Kauli za 'Kihuni' tafadhali

    Tuendelee kumuombea Rais wetu aweze kuwa na kauli njema kinywani mwake. Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  7. jmwanse

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Sasa Liverpool hatusajili makinda, tunachukua watu wenye uwezo wa kutosha. Tazama tumecheza na Burnley na Everton tumezipiga zote pasipo Coutinho. Ko tupo vizuri tu.
  8. jmwanse

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kaka huo ndio mpira, mbona C.Ronaldo aliondoka man u, Naeymar aliondoka Berca. Sembuse Coutihno. Timu itakaa sawa tu.
  9. jmwanse

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Usiogope, Liverpool ni kubwa kuliko Coutinho, kwani mbona mechi nyingi tu tumeshinda pasipo yeye?
  10. jmwanse

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Very nice speech.
  11. jmwanse

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Timu ni kocha, hivyo Klopp ni cocha mwenye uwezo, Liverpool itakuwa vizuri tu hata pasipo Coutinho
  12. jmwanse

    Kaburi la Petro(Simoni bar-yona) lipo Jerusalem na siyo Roma

    Tusipende sana kushabikia madhehebu yetu, maana hatutaweza kuijua kweli ya Mungu tukiegemea sana kwenye madhehebu yetu. Maana kila kiongozi uvutia upande wake. Hivyo ni vyema kujifunza biblia, lkn pia kuwa waombaji sana ili Roho wa Bwana na atufunulie.
  13. jmwanse

    Kaburi la Petro(Simoni bar-yona) lipo Jerusalem na siyo Roma

    Ubarikiwe sana, tuzidi kuombeana.
  14. jmwanse

    Kaburi la Petro(Simoni bar-yona) lipo Jerusalem na siyo Roma

    Yes, nimekupata, haya mambo kuyajua tunahitajika kusoma, si tu biblia lkn hata kuijua historia ya kanisa. Kiundani maana viongozi wetu kila mmoja uvutia kwake.
Back
Top Bottom