Recent content by jmNyamwez

  1. J

    Mninga

    Wewe unatumia nini ?
  2. J

    Mninga

    Kuna jamaa amenisafirishia milango ya mninga toka Tabora hadi Dodoma kwa njia ya reli
  3. J

    Ahadi hewa kuhusu ongezeko la mishahara

    Kuna muongozo walitoa ajili ya makundi yatakayopata nyongeza hiyo
  4. J

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mhasibu mwenye CPA anaanza na 1,000,000 gross (TGS E)
  5. J

    Samsung Galaxy s21 Ultra wanauzaje?

    Mpya kwenye Settings huwa zina software update
  6. J

    Kutolewa kwa mkeka wa MNH na JKCI (PSRS)

    Kwenye Pdf ya shortlisted upo ?
  7. J

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu kuna mdau kawa shortlisted kwenye PDF , ile anaenda kwenye akaunti yake Ajira portal akakuta wanasema hajawa shortlisted kwa sababu haja certify cheti kimoja cha baraza , hii kesi anai solve vipi aweze kupatiwa namba ya mtihani wakuu ??
  8. J

    Kuna tofauti gani ya maslahi kati ya muhasibu mwenye CPA na asiye na CPA?

    CPA umuhimu wake ni kama upo serikalini utakuwa na cheo cha Mhasibu . Na kama huna CPA utaitwa Afisa Hesabu na maslahi mtatofautiana .
  9. J

    Naomba mnijuze hii labour charge kama nimepigwa au laaaah!!!

    Kama ni huko yupo sahihi ila mshushe kidogo Boma iwe 1.1m bati laki 7
Back
Top Bottom