Recent content by JMF

  1. JMF

    Dawa ya wadudu wanaokula mbao ni ipi?

    Tumia napsack sprayer, jaza dawa ya na panda nayo juu au mpe kijana akapige mbao zote. Usisahau mask
  2. JMF

    Utaratibu wa unyampara kwenye matumizi ya barabara zetu umekithili, Viongozi na magari ya majeshi waelekezwe matumizi ya barabara

    Wengine ni wahuni tuu mkuu. Kuna siku tulichukua kimulimuli dukani kwa mwanangu kariakoo tukaweka juu ya dashboard tukakanyaga Dar-Moshi kama masaa 4.
  3. JMF

    Hivi ni kwanini watu wanaoendesha Harrier ni wazembe na wazubavu sana barabarani?

    Endelea kusoma na ukiikuta inawaka moto sehemu ipige picha uilete hapa uni tag. Nina namba D. Mbona haijawaka moto na long trip za Dar-Arusha, Dar-Dom, Dar-Mufindi nakanyaka bila presha na hazipungui 20 mpaka sasa.
  4. JMF

    Mazda wamezindua 3rd generation CX-5: Ina option ya Hybrid na Hakuna buttons kwenye cockpit!

    Hata subaru (forester) wakati zinaanza kuingia Tz miaka ile haya maneno yalisikika sana na wengi mlisema service ni mpaka Nairobi ila vijana wa Arusha wakathibitishia kuwa siyo kweli. Leo hii subaru zimejaa kila mahali. Ndiyo maana ukienda miji kama Kigali, Nairobi unakuta chuma latest, bongo ni...
  5. JMF

    Mbadala wa Mazda CX-5 na Subaru Forester

    CX-5 tamu sana kuanzia performance, design and fuel economy. Masharti tunayaishi tuu kwasababu hakuna gari isiyo na masharti. Kama ni "DPF" ondoa na u delete kama wewe ni mtu wa short trips mwaka mzima na "coolant by-pass" fanya kama wewe ni mtu wa long trips. Mchezo umeisha. Haigharimu zaidi ya...
  6. JMF

    Kumbe kuna baadhi ya Sekta Binafsi watu wanaishi kama wako peponi vile

    Usije tuu ukatafiti international NGOs and companies kama USAID, ILO, FAO, WORLD VISION, UKAID, WHO etc kwasababu utakufa kwa sonona.
  7. JMF

    watanzania wenzetu wenye magari ya milioni 200+ wanaoingiza pesa halali wanafanya shughuli zipi ?

    Kuna side biashara nje mshahara. Nilikuwa nashangaa mtu ananunua gari ya 50mil wakati mshahara wake hauzidi 1.5mil. Ila nilipodadisi mishe zake nikagundua kuwa ajira alionayoni dhamana kubwa katika biashara anazofanya na ndizo zinazomwingizia pesa kiasi kwamba mshahara hauna kazi kwake. Hivyo...
  8. JMF

    Nimechoka, naenda kununua gari

    Gari muhimu uwe nayo kwanza uipaki hapo nje. Wese huletwa na madili. Ukiwa na gari ni rahisi kufukuzia dili au kuletewa dili la pesa (mchongo). Pia unaweza kujikakamua mara moja moja ukaweka wese kwa mitoko maalumu
  9. JMF

    Usijiroge kununua gari isiyo brand ya Toyota kama unaishi mikoani, maji utayaita Mma !

    Fundi wa kwanza wa gari ni wewe mwenyewe (siyo fundi flani) na mchawi wa kwanza wa gari ni wewe mwenyewe(siyo brand ya gari au aina ya gari). Gari zinatoka na maintenance manual na mitandaoni zimejaa tele ila watu hawasomi, wanaishia kulaumu uhaba wa mafundi au gari husika. Unapiga reverse CX5...
  10. JMF

    Huyu dada kanifedhehesha sana!

    Huyo katumwa na mkeo. Kuwa makini
  11. JMF

    Mazda CX-5: Gari yenye muonekano mzuri sana Interior na Exterior

    Hiyo 850k unajaza wese unaenda hapo kenya wanamaliza kila kitu na chenji inabaki. Naikamua hivyohivyo na sijawahi ona shida yake. Trip zangu ni Bagamoyo-Dar kila weekend
  12. JMF

    Mazda CX-5: Gari yenye muonekano mzuri sana Interior na Exterior

    Sure. Tena kluger ndo kabisaa.....haijakaa ki town town
  13. JMF

    Mazda CX 5 special thread

    Hii hapa iko na mtiririko mzuri na uandishi uliokaa sawa Kama kawaida, nimeamua kufungua uzi huu maalum kwa ajili ya Mazda CX5 kama nilivyofanya kwa Subaru Forester na magari mengine. Lengo ni tukutane hapa tukishirikiana uzoefu, ushauri, changamoto na mbinu mbalimbali za kuitunza na...
  14. JMF

    Ijue Mazda CX 5, CC 2000

    Wakenya huwaambii kitu mbele ya Mazda. Ukiwa Nairobi CX5 zimetawala jiji na latest models nyingine. Huwezi kuta gari za miaka ya 80, 90 au 2000 kwa wingi kama bobgo. Labda sababu wana mafundi wazuri na wanaenda shule haswa na siyo kujifunzia uchochoroni.
Back
Top Bottom