Akuna atali wala nn, wakati wanachokifanya kinaeleweka na wanakielewa msingi ngoja waonje mazabe ndio wajifunze kama uko Asia ndio balaaa na inajulikana vifungo vyake.wabongo tunapenda sana mambo makubwa si viongozi wala wananchi!!
Iyo inakuwa kama kenya sasa mishaala kwa awamu sekta moja ikilipwa isubili miezi sita ndio ije kulipwa tena du east africa nomasana wakubwa awana wasiwasi na mishaala yao wanawatesa wafanyakazi wachini du poleni sana tena sana nduguzanguni!!!
Du unakumbuka mwalimu nyelele alisema ogopa msaada, bola mkopo sasa ndio inchi inavyouzwa kwa kijanja na ao viongozi wetu njaa, poldni watanzania apo watakaokua juu watabaki juu wachini wat as subili sanaaa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.