Recent content by jmapunda

  1. jmapunda

    Magufuli akiwa Rais nani atamfunga speed gavana?

    Johnson Mbwambo is my favorite journalist
  2. jmapunda

    Uzi wa kutupia picha za wanaume mahandsome!!!

    Aisee... nyuzi nyingine! Any way kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake. JF imebadilika sana.
  3. jmapunda

    Ni aibu kwa mwanaume kutumia neno 'mwaya'

    Neno jingine linaloniletea ukakasi likitamkwa na dume ni 'Nafwaa. '
  4. jmapunda

    Kulikoni wanaume wa miaka hii mmekuwa wadhaifu namna hii?

    Hilo tendo ni kwa ajili ya kuzaa tu.... Mbwembwe ni za kidunia tu.Nendeni hospital kwa consultation zaidi
  5. jmapunda

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Daa! Huu uzi bado upo kumbe!?
  6. jmapunda

    Riwaya/tamthiliya iliyonigusa zaidi, wewe je?

    Daa vipo vingi! Vyote vya Musiba Adili na nduguze Unyoya wa kipanga aziz Tabibu Sayidd Sanda ya jambazi Makuwadi wa soko huria Mwl. mkuu Is it possible? Kisiwa cha hazina Vitabu vyote vya Simbamwene Lila na fila havitangamani Hekaya za Abunuwas Daa!Yaani riwaya ni nyingi sana
  7. jmapunda

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Kumbe huu uzi bado upo?
  8. jmapunda

    Evarist Chahali amjutia Rais Magufuli

    Usiwe na upofu wa vyama!Mtanzania yeyote ana haki ya kutoa maoni yake.Siyo lazima afungamane na chama chochote.
  9. jmapunda

    Namtafuta shemeji yangu aitwaye Edwin Augustino Mkupasi

    Hii habari imenisikitisha sana.Huyu ndugu aliwahi kuwa rafiki yangu enzi hizo shule ya msingi Mlandege,Iringa.Baadaye alihamia s/m Wilolesi.Baadaye nilirudi tena Iringa nikiwa Mkwawa high school tukakutana naye tena pale mjini yeye akiwa mfanyabiashara.Alikuwa ni kijana mzuri.Habari hii...
  10. jmapunda

    Maoni ya Edo Kumwembe kuhusu Kenya, yanadhirisha ukanjanja wa wanahabari wengi

    Maisha yanataka nini tena?Ukiweza kuyaendesha badala yenyewe yakuendeshe.Wengine wapo kitambo kwenye game lakini bado hawajatoka...Edo punguza kutupia picha zako ukiwa kwenye ndege...kuna watu wanaumia Sent using Jamii Forums mobile app
  11. jmapunda

    Maoni ya Edo Kumwembe kuhusu Kenya, yanadhirisha ukanjanja wa wanahabari wengi

    Ulianza vizuri umemaliza vibaya.Kosa lipi!Kutoa maoni yake? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. jmapunda

    Maoni ya Edo Kumwembe kuhusu Kenya, yanadhirisha ukanjanja wa wanahabari wengi

    Sisi hatumsikilizi tu bali tunamsoma pia.Kwa kifupi Edo amechangia sana kulijenga gazeti la Mwanaspoti...na hata waandishi wengi wa habari za soka wanapita katika njia yake.Sitaki kujadili jina lako lakini kama wivu unaweza kufuatana na jinsia basi nimeshakusoma. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. jmapunda

    Maoni ya Edo Kumwembe kuhusu Kenya, yanadhirisha ukanjanja wa wanahabari wengi

    Nimeshangaa hata hao waliokupa likes...lakini sawa ni maoni yako.Najuta tu kupita hapa.Kwa viwango mmeachana kusi na kasi...Edo ni habari nyingine. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. jmapunda

    Jenerali Ulimwengu: Itachukua miaka 40 Demokrasia ya Tanzania kuifikia ile ya Kenya

    Hilo jina ulilojibatiza hulitendei haki. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom