Nyumba inauzwa iko kibaha miembe saba imekamilika kila kitu isipokua umeme na maji,ina vyumba 3 vya kulala sebule sehemu ya kulia chakula stool na jiko ina uwanja mkubwa tu bei milioni 50 umbali kutoka barabara kuu ya lami km 2,kwa mawasiliano 0767402820.
Hawa chadema wa ajabu wamesahau mgombea mweza wa slaa alikua darasa la ngapi? na waliitetea sana hiyo hoja ina maana kama wangeshinda tungekuwa na makamu wa raisi darasa la 7 hilo hawalioni
Hata ukawa nao wanadai wanatetea maoni ya wananchi kama ndivyo kilicho watoa bungeni ni nini si wangebaki tu harafu wananchi si watapiga kura wangeikataaa siasa za mikutano hata ccm inaweza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.