Recent content by jmalulu

  1. J

    Msafiri Mtemelwa aomba kuondoka CHADEMA; MM’s wamrubuni aitishe press conference kutukana

    Kuchukua nchi wasahau labda nchi ya kaskazini lakini si tanzania wabaguzi wakubwa hao
  2. J

    Freeman Mbowe (KUB): Bajeti hii ya Serikali haitoi nafuu kwa mwananchi...

    Mkuu unajisimbua kumuelewesha mtu asiejitambua muache asubiri bajeti ya mbowe imletee maendeleo yake.
  3. J

    Nyumba inauzwa

    Nyumba inauzwa iko kibaha miembe saba imekamilika kila kitu isipokua umeme na maji,ina vyumba 3 vya kulala sebule sehemu ya kulia chakula stool na jiko ina uwanja mkubwa tu bei milioni 50 umbali kutoka barabara kuu ya lami km 2,kwa mawasiliano 0767402820.
  4. J

    TANZIA: Mama Mzazi wa mbunge Zitto Kabwe, Shida Salum afariki Dunia

    Inna lillahi wainna ilaihi rajiuun
  5. J

    Mbunge std. 7 anapowasilisha bajeti ya vyuo vikuu bungeni: ONLY IN TANZANIA

    Hawa chadema wa ajabu wamesahau mgombea mweza wa slaa alikua darasa la ngapi? na waliitetea sana hiyo hoja ina maana kama wangeshinda tungekuwa na makamu wa raisi darasa la 7 hilo hawalioni
  6. J

    Mbunge std. 7 anapowasilisha bajeti ya vyuo vikuu bungeni: ONLY IN TANZANIA

    Yaani ndugu yangu ukitaka kuiona misukule ya mbowe mguse huyo jamaa
  7. J

    Mbunge std. 7 anapowasilisha bajeti ya vyuo vikuu bungeni: ONLY IN TANZANIA

    Povu la nini sasa misukule ya mbowe utaijua tu
  8. J

    Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

    Umenena ndugu ila hilo somo ili mtu alielewe inahitajika akili ya ziada
  9. J

    Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

    Hakika yesu alikua ni mwislam maana hata bibilia imesema labda kama hujui maana ya neno mwislam hapo sawa
  10. J

    Kesho yaweza kua ni " CHADEMA"

    Umenena mkuu
  11. J

    Zitto Kabwe: Siwezi kukubali au kukanusha kama niko chama kipya cha ACT

    Na walipoligundua hilo wakakimbia kuilamba miguu cuf na nccr ili warudi kivingine ila tumewashitukia
  12. J

    Mh. Pinda Awasihi UKAWA!!

    Wewe ndo hujaelewa ila sisi wenye chama chetu mbona tunaelewana tu
  13. J

    VIDEO: Hatimaye, Nape aisambaratisha UKAWA Pemba...

    Hata ukawa nao wanadai wanatetea maoni ya wananchi kama ndivyo kilicho watoa bungeni ni nini si wangebaki tu harafu wananchi si watapiga kura wangeikataaa siasa za mikutano hata ccm inaweza
Back
Top Bottom