LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,466
- 820
Njia pekee ni maridhiano,na jukumu hili ni la Mhe Jakaya kikwete
Si umemsikia akili ndogo nape yeye anasema ukawa wasirudi bungen sababu hajui lolote kuhusu sheria ya uundaji wa katiba maskini ya mungu ni kamtu ka kuonewa huruma mi kambumbumbu tu kanakoendeshwa na emotions bila akili,lakini ndio kiongozi wa ccm na ndio wanao iua ccm taratibu bila ya wao kujua. Na tatizo hawajui kuwa ukawa ina suport kubwa ya wananchi kuliko wanavyo dhani.