Wana Bodi habari zenu
Ama baada ya salamu shida yangu ni hiyo kwa mwenye uelewa juu ya maeneo hayo elimu yangu ni ya wastani ila nimebase katika maswala mazima ya Ulinzi nimeshafanyia sana kampuni za hapa Tanzania KAMA NIGHT SUPPORT KK GUARD ILA MALIPO NI KIDOGO SANA naomba mwenye uelewa wa soko...
Kama kawaida hizi habari nilizipata katika mizunguko yangu ya biashara ndani ya nchi zetu za Afrika Mashariki kwa atakaye bisha silazimishi kuamini
Katika jeshi letu la polisi yupo mwana mama anayeandaliwa kuja kurithi mikoba ya kamanda C-law kwa kigezo cha usawa wa jinsia mpaka hapo...
ilka kwa uwanja wa shabaha pale mbezi beach lile eneo kwa sasa nlinathamani kubwa sana maana limezungukwa na mahoteli ya kitalii tupu wawe makini tu kama likiuzwa liwe kwa faida ya nchi
Lakini kama taratibu za uwekezaji zimefuatwa hakuna tatizo navyojua hatangazwa zabuni ya wazi na wazabuni hushindanishwa kupata alie bora zaidi jeshi ni taasisi iliyojaa wasomi katika kalne hii tena katikati ya zama za utumbuaji majipu kila kona hicho alichoongea japo kuna ukweli kwa mbaali...
nashukuru wajuvi wa haya mambo wametulia na huwa hawachangii chochote wewe yeriko ktk hiyo fani huna unachojua ila kuja kudanganya watu tu humu na wsio jua wanakusifu et somo zuri nakwambia ww mweupe sana katka hili afu unajifanya kuwafundisha watu kazi zao na kiona tanzania iko nyuma sana...
nilipoipata hii habari nilijua ni mpya kumbe inajulikana sana tu tatizo kila mtu alikua anaiongelea chinichini hebu tungtuone baada ya miaka 6 nini kitatokea wasipochukua hatua naskia jamaa wanalindwa sana kutokana na uwezo wao mkubwa kiuchumi
tunapoelekea kusheherekea sikukuu ya pasaka kuna taaarifa magaidi wamejiandaa kufanya shambulizi hasa maeneo yenye mikusanyiko makanisani ndio walengwa wakubwa na vituo vya mabasi wanapanga kuwatumia hasa raia wa kigeni hata mabasi ya kusafirishia abiria sio salama chukua tahadhari binafsi
kuna pikipiki 5 zinafanya kazi ya wizi boxer zikiwa chini ya uangalizi wa polisi wako wa mkoa wa kipolisi ilala huzunguka maene ya bot ifm samora jirani na ikulu
biashara iko hivi hawa vijana wamesajiriwa na moja wa polisi wako anaitwa Christopha Mtabutu hupeleka 50000 elfu hamsini per day...
WaTANZANIA tumelala fofofooo nimemaliza kazi yangu kulisaidia taifa langu watu bado wanabisha wakati wenzetu wako katika long term plan sie tuna endelea kudiscus million kumi za mboga haya kwa herini wadau ila wale wanofanyanyia kazi hizi habari najua watakua tayari wameshaona viashiria flani...
Nimeipata katika nchi jirani iliyokua na vita ya maneno na Tanzania, miaka ya karibuni kumekuwa na hujuma kubwa inafanywa ndani ya JWTZ hasa katika mfumo wa mafunzo kwa kada chini yaani JRN NCOs n SRNCOs katika vyuo vyao.
Swala liko hivi, kitengo cha kijasusi cha nchi hiyo kilituma mawakala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.