Recent content by JJL

  1. J

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mi hata ninapofanya kazi now kuanzia getini, washroom pote kuna box za kondomu
  2. J

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kama ni mke wa mtu yawezekana ikawa post yako ya mwisho hii JF, lolote laweza tokea
  3. J

    Kwanini Wanaume wengi wanapenda kufanya Ngono ndani ya magari yao?

    Inaonesha wewe huna gari, wivu tu
  4. J

    Kweli nimeamini kuna wanawake wagumu

    chaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaai
  5. J

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nenda shule hatujaja kufundishana hapa
  6. J

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Haaaaa yaani hapo mataa tumepandia sana mabasi ukichelewa, nadhani umekuta hako kastyle kamepita.
  7. J

    Rais Magufuli na Mwigulu hawakujuana jana

    Upo sahihi kaka, huyo ni Ndashau Prof. (Economist)
  8. J

    Natafuta Mbuzi bora wa Nyama Madume aina ya Savanna na Boar hapa Tanzania

    Tuwasiliane mzee na mimi natafuta hao mbuzi
  9. J

    The Power of Levarage

    Kwanza walikuwa hawapigwi, kama alikuwa anafikisha malengo ndo maana kakaa muda wote huo, suala la yeye kujenga gesti zake ni mbinu zake. Naamini kama angekuwa anawapiga msingemuacha for 10yrs
  10. J

    Naweza kuwa dereva wa Uber ilhali mimi ni binti?

    Kwa Dar nimekutana nao wawili nao pia wana IST ni wanawake
  11. J

    Naweza kuwa dereva wa Uber ilhali mimi ni binti?

    Dada Kibisa, Hiyo inawezekana kabisa. Naamini ni biashara nzuri kabisa. go ahead, good idea.
  12. J

    Nimegundua baba alimharibu (sexually abused) ndugu yangu wa kike

    Angalizo: Watakuja wanasheri na wanaharakati PM huko wanataka mkafungue kesi, be very careful on this, unaweza poteza wazazi wote busara isipotumika.
  13. J

    Nimegundua baba alimharibu (sexually abused) ndugu yangu wa kike

    Nakushauri kwa kipindi cha 20yrs back ni kirefu sana ingawa naelewa maumivu yake, ila naamini hili jambo lingeweza kuisha kifamilia zaidi, una uhakika mnaojua ni nyie wawili tu? Nimeona hapo kama umemuhusisha na Shekhe, Kwa sababu nyie ni watu wazima mkaenae muelezeni linavyowasumbua...
  14. J

    Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

    Congrats bro Congrats bro, its the best art writing i have ever ready in swahili.
Back
Top Bottom