lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,543
- 1,974
Zipo sababu 2 tu za mwanamke/ mwanaume kumeng' enyana ndani ya gari.
1- ambayo ni kuu, mwanaume popote akijiridhisha anaweza kupiga mabao ya chapchap anamtest mwanamke akiona ni fala anamlipua iwe garini, chooni, chochoroni, bafuni, ofisini, koridoni , mtaroni nk.
2 - hadhi ya Mwanamke/mwanaume hapa unaweza kukuta mwanamke au mwanaume nafasi yake ni finyu mno kutokana na kazi yake au wivu wa mumewe au mkewe au hawara hivyo mmeng'enyo wa ndani ya gari lazima.
Mwingine hadhi yake kuonekana ndani ya nyumba za mimeng'enyo ni hatari kwa kuogopa udaku.
Mwisho maumbile kuna wanawake wengine ni dhaifu mno, akiwekwa mtu kati mabusu mpapaso kidogo anakuwa hoiiiii kwann mmeng' enyo usitokee popote.
1- ambayo ni kuu, mwanaume popote akijiridhisha anaweza kupiga mabao ya chapchap anamtest mwanamke akiona ni fala anamlipua iwe garini, chooni, chochoroni, bafuni, ofisini, koridoni , mtaroni nk.
2 - hadhi ya Mwanamke/mwanaume hapa unaweza kukuta mwanamke au mwanaume nafasi yake ni finyu mno kutokana na kazi yake au wivu wa mumewe au mkewe au hawara hivyo mmeng'enyo wa ndani ya gari lazima.
Mwingine hadhi yake kuonekana ndani ya nyumba za mimeng'enyo ni hatari kwa kuogopa udaku.
Mwisho maumbile kuna wanawake wengine ni dhaifu mno, akiwekwa mtu kati mabusu mpapaso kidogo anakuwa hoiiiii kwann mmeng' enyo usitokee popote.