Recent content by JJJames

  1. J

    Application za mkopo HESLB

    Hapo picha inatakiwa kuwa na ukubwa MB 1 na kushika chini
  2. J

    Application za mkopo HESLB

    Kwahiyo na picha ya passport nayo inatakiwa kuwa pdf? Maana mimi picha ya passport ndio inasumbua sana
  3. J

    Application za mkopo HESLB

    Umetumia application gani kuiweka picha kuwa na size ya MB moja?
  4. J

    Application za mkopo HESLB

    Viongozi na vipi kuhusu picha jamani, maana picha pia mimi nashindwa kunifanya kuwa MB 1, naweza kuiweka kuwa 120 kwa 150 ila sasa kwenye size ya MB 1 ndio changamoto naomba msaada au application ya kunisaidia kufanya hivyo. Natangulisha shukrani zangu za dhati kwenu viongozi.
  5. J

    Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

    Huenda asiwe miongoni mwa hao kabisa
  6. J

    Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

    Fanya mazoezi haya kuondoa mafuta yasiohitajika mwilini, kuondoa nyama uzembe na kupata six packs haraka ukiwa nyumbani bila kwenda gym
  7. J

    Sheha Mpemba Faki, Mbunge mteule wa Konde (CCM) ajiuzulu

    Duu aisee tutaona mengi sana
  8. J

    Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

    Fanya mazoezi haya kupata six packs haraka au kuondoa nyama uzembe ukiwa nyumbani bila kifaa chochote bila ya kwenda gym.
  9. J

    Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

    Usijali kuna mazoezi madogo anayotakiwa kufanya bila kifaa chochote bila hata kwenda gym. Bofya link hapa chini utapata video za mazoezi anayotakiwa kufanya, Kila zoezi sekunde 45.
Back
Top Bottom