Nimeangalia hata mimi wamesema kwa nini Matokeo ya Urais yasihojiwe Mahakamani kwa kuwa tuko katika mfumo wa vyama vingi wakasema tuko katika udikteta na malalamiko ya tume yako kila mwaka hayatatuliwi wanjiita tume huru
Hakuna haki Tanzania na huu ndio muendelezo wa Serikali ya ccm kwanza Jaji Alois Mujulizi ndo aliyetengua Ubunge wa Godbless Lema Arusha kwa kukiuka taratibu na kanuni za kisheria hii ndo ccm ambayo wanajidanganya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.