Recent content by jizwalo

  1. J

    UKAWA kuweni macho sana na hili

    Kabisa
  2. J

    Rais Magufuli amteua George Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kupendekeza jina la PM Nov 19

    Jamani msishangae ccm ni ile ile hakuna jipya kabisa
  3. J

    Kwa hili tukio la leo, ITV wasiachwe hivi hivi, wachukuliwe hatua za kisheria

    Wajinga kabisa nendeni mkawaambie tbcccm nastartvccm na cloudccm
  4. J

    Magufuli aomba wananchi wamuombee

    Haiwezekani muombeni nyie
  5. J

    VOA On Tanzania election--Straight Talk Africa

    Nimeangalia hata mimi wamesema kwa nini Matokeo ya Urais yasihojiwe Mahakamani kwa kuwa tuko katika mfumo wa vyama vingi wakasema tuko katika udikteta na malalamiko ya tume yako kila mwaka hayatatuliwi wanjiita tume huru
  6. J

    Arusha - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Niko kituo cha WYCA FIRE ARUSHA WATU KIBAO WAMEJITOKEZA NIPO KWENYE FOLENI
  7. J

    Vunjo: Maboksi 'kura feki' yakamatwa Himo, Kilimanjaro

    Chomeni mkiacha mmeliwa kabisa
  8. J

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar: Marufuku Mikusanyiko ndani ya mita 200 baada ya kupiga kura

    Hakuna haki Tanzania na huu ndio muendelezo wa Serikali ya ccm kwanza Jaji Alois Mujulizi ndo aliyetengua Ubunge wa Godbless Lema Arusha kwa kukiuka taratibu na kanuni za kisheria hii ndo ccm ambayo wanajidanganya
  9. J

    Kura Yangu Magufuli, wewe Je?

    Laigwanani Lowasa tu
  10. J

    Taasisi za kimataifa zampa heko Magufuli kwa sera bora

    Labda hao waliopewa gesi tu na madini yetu wanaogopa kufukuzwa
  11. J

    Serikali: Ukitaka kukaa mita 200, uwe na kibali

    Hakuna waache kutuhadaa wanataka kuiba kura hatutakubali bora tufe tukiipigania haki yetu ya kikatiba kabisa
  12. J

    Kuna Viongozi wana dalili za kushtakiwa ICC

    Na tutakaa kusikiliza nani ametangazwa mshindi
Back
Top Bottom