Uchawi ni siri kubwa kaka.... Kwa kuambiwa huwezi amini hasa kwa mama yako hapo usimuone mkeo mbaya Wala mama yako chunguza kwa unavyojua ww utapata ukweli.
Jaribu kumuelewa huyo dada.... Stroke ni ugonjwa tu unaweza kuvumilia sana.... Lakini ulevi wa kupitiliza unaokupelekea kujitapikia, kufanya fujo yan ni ulevi uliobeba kudhalilishana na sio kwamba hajaongea nae ameshaongea nae mpk vikao lkn anahaidi ataacha bila kutekeleza ahadi ya kuacha hivyo...
Mbona ata wale wanawake warembo wa kwenye biblia walikuwa wanasifiwa kwa kujipendezesha na vikuku.... Ni moja ya urembo tu na si vinginevyo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.