lubagabalm
Member
- Jan 5, 2017
- 84
- 72
Hilo kundi mbona m simooo , m team pedesheee emolo
Lucifer yupo mbali...mie nipo karibuSaaa tano kweli au nilale zangu maana lucifer ananisubir
Dah, Money Penny, asante mamaaa. Naomba niwe muwazi, siku ya kwanza nilipoanza kusoma sehemu ya kwanza hata sikuimaliza, nilirudia zaidi ya mara tatu ndo nikaimaliza sehemu ya kwanza, tena baada ya kucoment kuwa itakuwa nzuri mbeleni. Sio tu imekuwa nzuri ila imekuwa kituo kinachofuata baada ya jangwani. Asante mamaa.
Haya nimelike chachaNataman hii story kila unapoiweka ipate like 20. Story tamu wafuatiliaji wengi,ila wabahili wa like,hodari wa kulalamika ukichelewa kuiweka jaman.
Haya nimelike chacha