Kwa hapa nchini kwetu wanapatikana kwa wingi kwenye mapori na vichaka mkoani Tabora. Wakazi wa Tabora ndio wanamjua vema huyu nyoka. Kiufupi huyu nyoka ni hatari kupita maelezo, ndiye nyoka mwenye sumu kali kuliko aina zote za nyoka barani Africa.
Kwa jinsi habari ilivyo, inaonesha dhahiri wanaingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na wanaume ambao awajapenda ndio maana wanalalamika. Laiti wangewapenda wasingeongea huo utumbo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.