Jitukali 333
Member
- Jul 11, 2019
- 44
- 29
Nakubaliana na wewe, mtoto ukimzaa jitaidi kumlea mwenyewe sio kuwaachia ndugu zako wakulelee.Hizi mambo za kupeleka watoto kwa mashemeji sio sawa kabisa.
Binaadam ni wanyama sana, watoto wanaharibiwa na watu wa karibu, wajomba na mashemeji, mabinamu sijui, yaan zile tabia za kulaza watoto wetu na wageni sio sawa kabisa. Huyo jamaa akabidhiwe kwa wananchi tu wao ndio wampatie hukumu