Recent content by Jitu la Mara

  1. Jitu la Mara

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nawashauri Wajumbe wa Tume ya Maridhiano walioteuliwa na Serikali wakatae uteuzi au wajiuzulu.

    Toa solution zinazoweza kutumiwa na serikali kutuliza na kudhibiti janga linaloweza kutokea December 9.
  2. Jitu la Mara

    JamiiForums Tanzania GE2025 DC Magoti: Kama unataka kuzeeka ukiwa Kiwete andamana, ntawapiga mpaka Sura iwe kama Nyama Choma ya Porini

    Moja kati ya wanawake nilikuwa nawaona wapo makini JF ni Shammy- . Lakini nimekuja gundua ndo moja kati ya hopeless women I have met. Badili mtazamo mdogo wangu.
  3. Jitu la Mara

    JamiiForums Tanzania Interview Radiation Safety Inspector II (TAEC)(udom CIVE Auditorium)

    Benjamin Mkapa pia walitangaza nafasi za kazi za Medical Physicist ll. Nafasi 2 mwaka jana December 20, Hadi Leo ni kimya tu hawajaita Interview, sijui washazipotezea?
  4. Jitu la Mara

    JamiiForums Tanzania Interview Radiation Safety Inspector II (TAEC)(udom CIVE Auditorium)

    Umemaliza mwaka gani kiongozi, Mimi hapa wa 2022.
  5. Jitu la Mara

    JamiiForums Tanzania Interview Radiation Safety Inspector II (TAEC)(udom CIVE Auditorium)

    CNMS wamefuta Bsc Physics. Hawa wanaoanza mwaka huu yao itaitwa Bsc. In Applied Physics.
  6. Jitu la Mara

    JamiiForums Tanzania PRSS 1 Salary scale ni pesa ngapi?

    Kuna kazi nimeomba ndo nikajua labda inachezea 1.7M kumbe sio.
  7. Jitu la Mara

    JamiiForums Tanzania Huyu Oscar Oscar inakuwaje watu wanamshangilia kwa upumbavu anaoandika mtandaoni? na kumpa matangazo?

    Suala la smartness ya mtu ni dogo ukilinganisha na maadili na miiko ya jamii. Taifa lolote lenye maendeleo wanazingatia nidhamu zaidi ya uwezo wa mtu au cheo au chochote alichonacho. Kiimani, Shetani maandiko yanamshuhudia Kama kiumbe mwerevu lakini tazama Mambo aliyoyasababisha. Hawa watu...
  8. Jitu la Mara

    JamiiForums Tanzania Interview Radiation Safety Inspector II (TAEC)(udom CIVE Auditorium)

    Aisee hii ni vita kaka. Watu wanne Tanzania nzima!!! Kama una possible questions naomba kiongozi. Vp ushindani unauona vipi
  9. Jitu la Mara

    JamiiForums Tanzania Interview Radiation Safety Inspector II (TAEC)(udom CIVE Auditorium)

    Mwaka huu (2025) pia wametoa nafasi 4 za Radiation safety inspector ll (Nuclear Physics). Maswali yapi yanaweza kuulizwa wadau na je Kuna interview ngapi.... Kuna mtu aliniambia pia Kuna practical
  10. Jitu la Mara

    JamiiForums Tanzania PRSS 1 Salary scale ni pesa ngapi?

    PGSS 7.1 ndo inachezea ngapi kiongozi
  11. Jitu la Mara

    JamiiForums Tanzania Hivi ina maana wachawi hawapo kabisa JF?

    Nipo hapa. Kwa mazungumzo ya kiofisi, naomba unitafute.
  12. Jitu la Mara

    JamiiForums Tanzania Huyu Oscar Oscar inakuwaje watu wanamshangilia kwa upumbavu anaoandika mtandaoni? na kumpa matangazo?

    Nilidhani ni Mimi tu ninayeona jamaa anaididimiza jamii kwa kauli chafu ambazo zilitakiwa zikemewe lakini Cha ajabu anashangiliwa.
  13. Jitu la Mara

    JamiiForums Tanzania Kipi kifanyike ili elimu ya Tanzania iwe na tija kwa wasomi?

    Machozi, majuto na kuchanganyikiwa kwa wasomi wanaomaliza vyuoni kukosa kazi mtaani. Ndoto zao kuishia kuwa simulizi ndani ya nafsi zao ni msiba mkubwa kwa Taifa letu. Ni wakati sasa wa nchi kujipanga upya. Badala ya kushusha kila mwaka kontena la wasomi wasio na pakwenda, nchi itafakari...
Back
Top Bottom