Recent content by Jitu 1

  1. J

    Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

    Haupo sahihi kabisa, 1. je Yesu alikua mzungu au mwarabu? 2. Hujawahi kufikiria kwamba yesu alikua na Ngozi nyeusi? 3.jiulize kwa nn Yesu alizaliwa Jerusalem na ukristo ulianzia hapo lkm kwa nn sasaiv makao makuu yapi Ulaya? je kuna nabii mzungu?. Ingia chimbo na ufanye utafiti upya
  2. J

    Osama bin Hamdan wa Hamas asema hakuna kuachia mateka kabla Israel haijatekeleza matakwa yao

    wewe ni mungu yupi uliyewahi kumuona kwa macho na ambaye anakusaidia? Acha kukariri vitu vya kipuuzi vilivyoletwa wakoloni wazungu na waarabu
  3. J

    Ipi siri ya nchi ndogo ya Korea Kusini kuzalisha umeme mwingi wa Gigawatts 143?

    Wanafua umeme kwa kutumia nishati ya Nyuklia ivo kiwango hicho cha umeme ni kawaida san Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  4. J

    Almasi na ukakasi Katika aridhi ya Tanzania

    Naanza kupata picha sababu ya kifo cha Jpm
  5. J

    Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

    kanisa lenyew linaongozwa makadinali mashoga hapo unategemea nn
  6. J

    Tusipo badili aina ya uongozi Tanzania inaenda kufilisika na kuwa ombaomba {fallen empires}

    Afadhali ya Marehemu alionesha Kuna sehemu anatupeleka....sasaiv nchi ipo auto pailot
  7. J

    Kwa wale mnaopenda 'Mambo ya Mombasa', tahadhari sana!

    Duh nimeiweka bando la kutosha kwa kudhani ni Mombasa ya buza
  8. J

    Nchi 10 za Afrika zenye akiba kubwa ya Dhahabu kwa mujibu wa Statista

    Magufuli aliweka misingi BoT wanunue Dhahabu cjui km serikali ya Sasa unafanya Ivo au laa
  9. J

    Baada ya mabwawa ya Libya kupasuka na kuua watu zaidi ya 11,000, je bwawa gani chakavu litafuatia?

    Sio bwawa hata hio Barabara ya mwendo kasi bado haijaanza kutumika lkn zege linatoa nyuma inabidi mkandaras anakat wanaweka viraka ni dalili ubora hafifu
  10. J

    ANUNNAKI: Nadharia za Mungu, miungu, fumbo la sciencenscience na Teknolojia kubwa katika Dunia ya kale, kuanguka Kwa civilization na kuinuka Tena

    Sasa hayo maandiko ya wasumeria Nani aliandika km Anunaki walishuka wakaumba watu kwa ajili ya kuchimba dhahabu je hao wasumeria walikua ni nyani au waliandik historian baada matukio kupita?
  11. J

    Nchi 10 za Afrika zenye akiba kubwa ya Dhahabu kwa mujibu wa Statista

    Hayati Magufuli aliona hilo wazo la kuweka Akiba ya Dhahabu BoT na akaanza kuweka Sasa cjui bado tunaweka au vp....Dah marehemu aliona mbali san cpati picha km angefanikiwa kumaliza angalau miaka 5
  12. J

    Indonesia, Malaysia na Thailand watangaza kuachana na dola ya marekani

    Ni jambo dogo sana mkuu...Afrika ndio tutachelew na hatuwezi coz nchi zote za afrika ni tegemezi na viongozi wetu Mawazo yao ni finyu ila kwa mataifa yanayojielew ni Jambo dogo
Back
Top Bottom