Recent content by jipu sugu

  1. J

    AY na Mwana FA waingia kortini

    si mpaka washinde mkuu unadhani kampuni kama tigo nao watakubali kirahisi
  2. J

    AY na Mwana FA waingia kortini

    Kuna uwezekano mkubwa, AY na Mwana FA wamefungua kesi ya masuala ya ukiukwaji wa haki miliki za kazi zao. Mwanasheria maarufu nchini, Alberto Msando amepost picha Instagram akiwa kwenye mahakamu kuu ya Tanzania akiwa na rappers hao. “At the High Court of Tanzania, Dar Es Salaam. #UsijeMjini...
  3. J

    Mwanamke akipenda anapenda kweli!

    #pesa ni kiungio muhimu ili kufanya theory yako ifanye kazi vizuri ukiweka na tujimfano kidogo kama wolper kwa $$$$ au wema kwa CK hayo uliyoyataja yoooooooooooooooote yana fall kwenye pre mature stage.. we jitumbukize kichwa kichwa kama baada ya mwaka hujatumbuliwa uanze mi status wasapp...
  4. J

    Edward Lowassa kutua kwa kishindo Dodoma leo, bunge lahaha

    muda wa kuzungusha mikono umeisha bira mafanikio (malofa ) mkakati mpya ni kuwa mabubu bungeni:(:(:(:(:(:( na ivi wanavopenda cheap popularity sindo tutawasahau kabisa wakina mdee,lisu,msigwa naona wazee wameliona ilo ngoja tuone "kimkakati" isije kuwa remix ya kuzungusha vidole lakini
  5. J

    Uhasama wa Kisiasa Wakwamisha Maziko

    elimu, elimu, elimu
  6. J

    Wastara: Kuvunjika kwa ndoa kumenipa amani, nikipata mtu niko tayari kuolewa tena

    wanakamsemo kao wenyewe 50/50 :p:p ongera dada mpaka kieleweke
  7. J

    Pozi za 'hatare' za Lady Jaydee

    kumbe huyu ndo jide mupya?? kweli mupya embu mwenye yule jide wa miaka ileeeee nijikumbushie
  8. J

    Wanawake"ugly face" hujituma sana kitandani,kwa nini?

    mkuu ungesema ukweli tu kuwa "ugly face" ni rahisi kuwapata kutokana na demand and supply theory :):):)
Back
Top Bottom