kila nafac za scholarships nisomapo huwa wanapendelea kutoa nafasi kwa watu wenye first class na upper second class.so mliopo mavyuoni pigeni gpa za juu ili mfaidi hizi nafasi adimu
kuna jamaa aliniambia kuwa kuna njia uzazi wa mpango inaitwa breastfeeding method ambayo mama anaweza kushiriki mapenzi ndani ya miezi 6 baada ya kujifungua na mumewe lakini sharti ni lazima mama awe anamnyonyesha vizuri mwanae angalau kwa siku si chini ya mara kumi na tano hiyo inapelekea...
pole sana ndugu...! ila izo dawa huwa zinasababisha kutokusikia vizur kwasababu nimekutana na viziwi wengi wamepoteza usikivu kwa sababu ya izo dawa ni hatari sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.