Recent content by jimmy jordan

  1. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta Ajira /Kazi ya Ulinzi, Storekeeper

    kaka naomba nichek pm
  2. J

    JamiiForums Tanzania Rais, viongozi na watu wengine watakaoguswa na jambo hili naombeni msaada wa kupata passport

    Aseee kaka pole sanaa ....i feel unachopitia mzee baba na inatia hasira sanaa yan wanaopewa ma mlaka wakiamua jambo lao watalifany kwa ushirikiano sanaa na hayo mambo bado yapo na yanatokea sanaa ..usikate tamaa Mzee baba keep going japo n pesa na muda unaondk ila pambania mzeee ...lakn ukumbuke...
  3. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lissu afafanua No Reform No Election, hatuzungumzii kususia uchaguzi na hatutasusia bali Uchaguzi hautofanyika!

    Kiongozi umefunga dm niruhusu private message nataka nikuulize kuhusu Mauritius
  4. J

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu acheni kuwa madalali wa Scholarship za Ubalozi

    Inaitwa UEM(united evangelical mission) zipo tofaut tofaut kasome utaona inayokufaa n ipii japo ishapita ila jiandae mana znakujaga tena South to north volunteer North to south volunteer
  5. J

    JamiiForums Tanzania JWTZ cyber warfare unit

    Binafsi kama mm moja ya technology ambayo nmeikubal sana n ya ukrain kutumia drone kushushia mabomu yao kuulia mrusi ii n kali sanaa yan unamsubiri wakuvamie vita vya ardhin uko mtwara wee uko zako nanjirinji unatuma drone zako kazaa zenye kamera kali za kuzoom unajua kabsa apa nikidondosha iili...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya fani zenye ajira kubwa Duniani: Wazazi somesheni watoto nje Degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering

    Kaka dm yako naipataje mana nataka maelekezo ya vitu kazaa vya it kabla cjachagua kozi chuoni
  7. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu inayofanya Tanzania kutokuwa na maprogrammer wengi?

    Aya jaman kijana wenu ..mdogo enu nimekuja nataman kusoma hii career ya programming na data analysis moyo uko mkunjufu...naomben ushaur apo wadau kwa course ya kwenda au kama kuna scholarships..ili niienjoy kucode na ku analyse vitu na mm ki digital....am 22 nahsi bado cjachelewa sana wakubwa
  8. J

    JamiiForums Tanzania Denis Magesa na fursa za kazi Ulaya na Marekani ni kweli?

    Yan watu wengi mme comment vitu ambavyo hamjafikilia na mme mu attack sana ..mnaleta tafsir ya wabongo ni wavivu kufikir na si kwel...iyo ada anayotoza n ya kukuandalia izo resume ,cover letter na kukufanyia maombi ya zile kazi ambazo boss atakua willing kutoa gharama ya usafir ya ww kufika...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Shikamoo biashara

    Likewise nimeanzisha biashara ya kuuza chapat jion lakn kiasi unachopata kinaishia kweny matumiz ..nmeona n stop kwanz nivute pumz
  10. J

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupata kazi za remote katika mashirika ya kimataifa yaliyo nje

    Na sis tusio na degree remote tunazipataje wakuu
  11. J

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupata kazi za remote katika mashirika ya kimataifa yaliyo nje

    Uzi mzuri sana ..nataman mtusanue na namna ya kupata fully funded scholarship marekani for undegraduate
  12. J

    JamiiForums Tanzania Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka

    Kuna group lolote la wasap umelifungua ututumie link tujiunge
  13. J

    JamiiForums Tanzania Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka

    Hapana. ila ameteleza mana nyingine zote zipo right
Back
Top Bottom