Mimi hapa; nimeprint form nikascan na ku submit; Ila Kuna badhi ya account za mwanzo ambazo zilisumbua ku submit baadhi ya vipengele mpaka leo in load tuu, ila kwa wanaoanza sasa hivi unalipia form hadi kuiprint usumbufu ni kidogo.
Jamani ndugu zangu, kwa yeyote mwenye namba ya simu ya Bodi ya mikopo (HESLB) inayopatikana kwa urahisi anisaidie ili niweze kufanya mawasiliano nao; Huu mfumo wa kutuma maombi unanichanganya sasa!!!!
Kwa wale tulio Apply IFM naomba tujuzane kipi kinaendelea; make tangia jana kila ninapo ingiza CODE zangu ili ni Confirm ngoma ina search tuu bila majibu, namba za simu nazo hazipatikani.
Kwa wale tulio apply IFM naomba tujuzane kipi kinaendelea mpaka sasa, Nashindwa kuelewa tangia jana Kila ninapojaribu ku conferm CODE zangu ngoma ina search tuu bila majibu
Hapana mkuu, hajakidhi vigezo vilivyopo kwa sasa; ili mtu aweze kuapply chuo kikuu mpaka awe na point 4 katika masomo yake mawili; labda kama angekuwa na DD ama CE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.