apprentice1997
Senior Member
- Jun 8, 2016
- 107
- 99
Habarini, ndugu yangu amepata division 3 point 15 matokeo yake ni kama ifuatavyo
Chemistry-S
Biology-E
Geography-D
je anaweza kweli kupata chuo degree yoyote hapa kwetu. nimesikia pia wasichana wanapewa priority hata kama na division 3 ni kweli?. asante
Chemistry-S
Biology-E
Geography-D
je anaweza kweli kupata chuo degree yoyote hapa kwetu. nimesikia pia wasichana wanapewa priority hata kama na division 3 ni kweli?. asante