Habari ndugu zangu.
Hivi karibuni umeibuka waraka wa elimu ambao umetajwa na walioandika kuwa ni waraka namba nne wa elimu waraka ambao wizara ya elimu wamekanusha kuwa ni batili.
Waraka huu umeandikwa mambo mbalimbali ila kikubwa kuna hoja kama mbili kubwa 1. Masomo kipindi cha likizo na 2...
Kweli "kujisaidia ajisaidie kuku akijisaidia bata kaharibu" wao kauli zao huwa hazivunji amani ila wengine amani inavunjika,basi wengine wana kauli kali
Habari wakuu,
Kwa sasa kumeibuka wimbi la wasanii wengi kutunga na kuimba nyimbo za kumsifia na kumpongeza Mhe. Rais Magufuli. Siyo tatizo ni vizuri kumpongeza ili kumtia moyo Rais wetu kuendeleza mapambano.
Mimi binafsi naona kama ni wabaguzi na wanafiki, kwa sababu katika marais ambao...
Hivi mummy,ni kweli kabisa inawezekana mtu anaacha shughuli zake anaenda kuchukua fomu ili akaiharibu ? Basi tuna wapinzani watu wenye akili ndogo sana nchi hii
Maeneo mengine huenda kuna uhuni unafanywa na CCM ila kuna maeneo CHADEMA wanajiharibia wenyewe,mfano huku kwetu wamemsimamisha mtu ambaye hakujiandikisha kwenye daftari sasa hapo tutasema wameonewa?
Ila naiona tarehe 24 vituo vitakavyokosa wapiga kura.
Wameandaa mashindano ya mbio,wengine wamewafunga kamba na wengine wako huru na filimbi inapulizwa aliyekuwa huru anashinda na waandaaji wanasema "hakika hawa wana kasi sana"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.