Wasanii wanachokifanya ni ubaguzi

Wasanii wanachokifanya ni ubaguzi

Habari wakuu..!!
Kwa sasa kumeibuka wimbi la wasanii wengi kutunga na kuimba nyimbo za kumsifia na kumpongeza Mhe. Rais Magufuli. Siyo tatizo ni vizuri kumpongeza ili kumtia moyo Rais wetu kuendeleza mapambano.

Mimi binafsi naona kama ni wabaguzi na wanafiki, kwa sababu katika marais ambao walikuwa karibu na wasanii alikuwa ni Rais mstaafu Kikwete. Mara kadhaa amewaita Ikulu, aliweka tararibu za namna ya kulinda kazi zao na pia alitoa fedha kwa ajili ya kuwajengea studio. Lakini sijawahi kusikia hata wametunga nyimbo kumsifia kwa lolote zaidi ya kipindi chake waliweza kutunga nyimbo za kusisitiza kulinda muungano na umoja.
ukaribu siyo kuitwa ikulu,, hujui anawawezesha vipi ?
MTU anweza kuwa anaishi marekani lakini akawa mtu wako Wa karibu kuliko huyo Wa hapo buguruni
 
Habari wakuu..!!
Kwa sasa kumeibuka wimbi la wasanii wengi kutunga na kuimba nyimbo za kumsifia na kumpongeza Mhe. Rais Magufuli. Siyo tatizo ni vizuri kumpongeza ili kumtia moyo Rais wetu kuendeleza mapambano.

Mimi binafsi naona kama ni wabaguzi na wanafiki, kwa sababu katika marais ambao walikuwa karibu na wasanii alikuwa ni Rais mstaafu Kikwete. Mara kadhaa amewaita Ikulu, aliweka tararibu za namna ya kulinda kazi zao na pia alitoa fedha kwa ajili ya kuwajengea studio. Lakini sijawahi kusikia hata wametunga nyimbo kumsifia kwa lolote zaidi ya kipindi chake waliweza kutunga nyimbo za kusisitiza kulinda muungano na umoja.
Huyu wanajua anagawa pesa taslimu siyo mchezo.
 
Una uhakika kwamba hata Awamu ya JK hakuna Wasanii ambao waliwahi Kumuimba hadi Kumfagilia katika Nyimbo zao? Tafuta Albums za Bendi za Tam Tam iliyokuwa chini yake Muumini Mwijuma, Bendi ya TOT, Akudo Impact, Twanga Pepeta na Wasanii wa Kufokafoka wa hii Miziki yenu ya akina Juma Nature, Kala Pina na wengineo kisha rudi hapa utupe mrejesho. Muwe mnafanya utafiti kabla ya Kukurupuka na Lawama zenu.
Kaimbwa wimbo mzima ?
 
Kwa maoni yangu, nyimbo zinazotakiwa kutungwa na kuimbwa katika nchi nyingi za kiafrika, ikiwemo Tanzania, ni nyimbo za ukombozi wa kifikra. Hii ni sababu, nchi hizi zilianza na bado zinatawaliwa na wakoloni wa kiafrika tangu wazungu waziachie. Pia, wananchi wengi bado hawajikomboa kifikra, hivyo kuimba nyimbo za kusifia ni kukwamisha harakati za ukombozi wa kifikra.
 
Kwa maoni yangu, nyimbo zinazotakiwa kutungwa na kuimbwa katika nchi nyingi za kiafrika, ikiwemo Tanzania, ni nyimbo za ukombozi wa kifikra. Hii ni sababu, nchi hizi zilianza na bado zinatawaliwa na wakoloni wa kiafrika tangu wazungu waziachie. Pia, wananchi wengi bado hawajikomboa kifikra, hivyo kuimba nyimbo za kusifia ni kukwamisha harakati za ukombozi wa kifikra.
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom