Mwambie Rais awape wananchi hiyo Fursa ya kuunda Serikali utazame maana unachokiongea wewe ni ile habari ya " kama sio mtu fulani tusinge kuwa hapa" ukisahau ya kwamba na wewe ni muhusika. Wapo watu wanaweza.
Hawa ni wale vijana wa Chato walio letewa Containa la Computer na furniture toka United State of America. Kama hukuwa unafahamu Ukanda... fuata Twiga na Tembo.
Unaishi zama za mawe za vita vya mahandaki na mashimo. Unaficha na kuvumbika kambi za jeshi karne hizi za teknologia na utandawazi mkuu? Ukitaka kujua kule kijijini mahindi yako yanaendelea je huna haja ya kupiga simu. Ingia internet utapata kila kitu live, hata kima unaweza kuwaona kama wapo...
Ni uuaji sawa na ule wa kuwabebesha wafanya kazi wa Bandari makontaina ya ya meza chakavu toka Marekani wakati miti na vyuma vya kutengeneza meza tunavyo hapa nchini. Rais akirudi Dar amalizane na hili pia.
Kuna wapuuzi wachache wanataka kuleta habari za nani alifanya hili na nani alifanya kile ili tu kujaribu kumtakatisha aliyepo kwa kuwatupia lawama waliopita.
Hii nchi ni kubwa, Ukiingia kwa pupa utatoka mchafu tu. Mtawabana watanzania humu lakini sheria za kimataifa hazito tuachia hata kidogo.
Akipata Tuzo ndio itaongeza uchumi wa nchi.? Fanyeni kazi acheni ujinga. Wenzetu wanafikiria jinsi ya kubadilisha nchi zao sisi tuna himizana kupigiana kura za kijinga.
Mtangulize Mungu kwenye hili la miaka 7 mkuu. Watu wanadondoka sana kila mwaka. Huyo unaye mwambia anaweza pata Stroke mnaweza kumwacha na afya njema tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.