2011 nilkuwa chuo. Baada ya kuripoti kuna orientation ambayo tulikimbizwa umbali km 20. Baada ya hapo mazoezi ya viungo kama masaa 2.
Siku ile nilichoka sijawahi ona.
Chuo kilikuwa kinatoa chai tu vitafunwa in juu yako.
Nilikuwa nimechoka na njaa mpaka nikawa natetemeka.
Nikaenda kuchua chai...
Nina miaka 27
Ni mwajiriwa serikalini
Ni mkristu
Msukuma.
Awe na sifa zifuatazo
[emoji173]miaka 22 hadi 32
[emoji173]mpenda maendeleo
[emoji173]mcha mungu
[emoji173]kama amezàa angalau mtoto 1-2 tu
[emoji173]awe tayari kupima.
Karibu kwa 0759460860.
Habari zenu wanajamvi? naomba ushauri na matibabu nina tatizo la ngozi ambalo limenisumbua kwa muda mrefu karibu miaka kumi sasa linavyokuwa lipo juu kidogo kwenye jicho la kushoto uanza kwa ngozi kukauka Kuwasha unapokuna hutoa magamba.
Baadae hutoka vipele ambavyo huwa na majimaji, katika...
Wanajamvi habariiii.....,. Mi kuna jambo linanisumbua. Eee bana natamani wanawake walionizidi umri. Nina miaka 26 tu. Wanawake 35-45 nawazimia sana. Lakini sina ujasiri wa kuwatokea kwa sababu nawaheshimu kwa umri wao. Kutoka MOYONI nawapenda mno. Wanajamvi naomba mwenye uzoefu na hawa anipe...
Nyie walim wakuu na maafsa ELIMU kata mnachangia kwa kiasi kikubwa kuua ELIMU tz.
1)Mnaongoza kuwansaliti walimu na kuwanyanyasa kwa sabu ya madaraka allowance.
H
2)Mnakosa HOJA kwenye vikao sabu mnaogopa vitisho vya hao jamàa zenu
3)Walimu mnawaona kama wanafunzi wenu. Sasa mnakuja...
Wanajamvi ktk maisha ni kuchagua na si kuchaguliwa. We umechagua kung'oa mi napanda, na hakuna tofauti kabsa ktk hilo.
Kukamilika sio kuondoa govi. Kama mechi nacheza mpaka ndondo utanismbia nn LEO afu nikuelewe. Nishasema sitoi hata yesu ashuke.
Kuhusu magonjwa mi nashangaa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.