Recent content by Jidulah Jidulah

  1. J

    CCM mmeridhika na Livingstone Lusinde?

    Hivi huyu jamaa ana upeo gani wa elimu? na katika jimbo lake anajuwa vizuri kero za wananchi wake? Mwenye profile yake tafadhari aiweke hapa, maana vitu vingine vinaweza kuwa ni issue ya knowledge. Hii ni sawa na taarabu au ngonjera. Kuna Tamalizeni au wale jamaa wa Fataki anaweza kujiunga nao...
  2. J

    Bungeni: Zitto aigalagaza Serikali, Spika ashindilia msumari wa moto!

    Bado tuna safari ndefu kwa majibu kama haya kutoka kwa waziri mwenye dhamana
  3. J

    Picha ipi nim kaburi la kanumba?

    Ya full Shangwe RIP Kanumba
  4. J

    Jinsi Lowassa alivyojichomeka sherehe za RC Ifakara na kumchefua kardinali Pengo

    Nao wamezidi huyu EL kila apokwenda anaongozana na Media ingekuwa mtu mwingine wala hata wasingeriport
  5. J

    CHADEMA kupata ofisi mpya ya Makao Makuu-Mwenge

    Sabodo kama Mzalendo wa kweli anajua anachokifanya nasisi wengine tuchangie hata senti tano ili Chadema waweze kutoa elimu hasa kwa watu wa vijijini ikiwa ni pamoja na kufungua mashina nakumbuka kuna program ya washa taa hii iliishia wapi? ilianzia nyanda za kusini!
  6. J

    Kauli ya Mwisho ya Mwalimu kuhusu Mzee Mtei pale nyumbani kwake Msasani..

    Chama chochote kile kitakachokuwa na sera za kuwajari wanyonge hakika kitashinda Tanzania, Kama Mwalimu aliona sera za Chadema ni nzuri ndiyo maana aliona kuwa hiki chama kinafaa hata Mzee Edwin Mtei alikuwa na nia ya dhati ya kumpa hizo Sera mbadala kuonyesha kuwa hakuwa tayari kuendelea...
  7. J

    Judge Warioba ateuliwa kuwa Mwenyekiti Tume ya Katiba

    Cha msingi hapa ni kuwapa support hawa wazee
Back
Top Bottom