kwa ufupi hutaki kuwa nae na ushampats mbadala wake,kuna majukumu yanayozuia mahusiano bs waliooa wasingejiendeleza kielimu wala kusomesha ndg zao au watoto wao,kuwa mkweli funguka usidanganye watu hapa.
tusipojifunza kupitia wenzetu yaliyo wasibu hatuwezi kujifunza tena,unajua ujinga wa mwanamke umeshikwa na mwanaume mpk baadhi ya wanawake wanakuwa hawajiamini kwa jinsi Mungu alivomuumba.
hv hata tv zinaushabiki wa kikabila,mm binafsi napenda hbr za itv ila ilivoanza kukwama naangalia startv bs, sina chama ila tbc siiangalii tangu alivoondoka Tido Muhando naona kama imechujuka kihabari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.