Recent content by Jicho tu

  1. J

    Mke wangu ana kadi mbili za kliniki, moja jina langu, lingine la bwana mwingine!

    Kadi ya klinik inakuwa na jina la mama mtarajiwa na baba mtarajiwa lzm yajazwe hayo majina,yaan jina la alokupa mimba
  2. J

    Beyonce kushika mimba soon

    mi nahisi jf ckuhz imeingiliwa na watoto wadogo.
  3. J

    Nifanyaje ili nimuache lakini asiumie?

    kwa ufupi hutaki kuwa nae na ushampats mbadala wake,kuna majukumu yanayozuia mahusiano bs waliooa wasingejiendeleza kielimu wala kusomesha ndg zao au watoto wao,kuwa mkweli funguka usidanganye watu hapa.
  4. J

    Siri imefichuka,Mimba ya Aunty sio ya Moze Iyobo

    hbr zote mnatuletea sie twazpokea mwisho mtasema aunt hana mimba nayo kwa kuwa n hbr itakapotokea tutaipokea.
  5. J

    Flora Mbasha ajifungua, nani baba wa mtoto?

    we unahisi ni nani?
  6. J

    ITV kujitoa Star times

    Jana ndo ilikua shughuli mda wa habari itv mkwaruzo kama kawa,startv walichelewa kuanza hbr,bs tbc ndo walikuwa wanapeta.
  7. J

    Ajali ya basi la Budget mlima Kitonga

    ni Mungu tu kawanusuru nnavoujua ule mlima na lile bonde tungeongea mengine.
  8. J

    Amcharanga mapanga mkewe kisa kutokuzaa

    hivi kwn Tarime kuna mzizi gn usiong'oleka too much kila cku wao tu.
  9. J

    Aoza mapaja baada ya kuchoma sindano ya kunenepesha makalio na mapaja

    tusipojifunza kupitia wenzetu yaliyo wasibu hatuwezi kujifunza tena,unajua ujinga wa mwanamke umeshikwa na mwanaume mpk baadhi ya wanawake wanakuwa hawajiamini kwa jinsi Mungu alivomuumba.
  10. J

    Lulu: Sijawahi kuwa mweusi, rangi ya Mtume nimezaliwa nayo

    yn umenikmbusha kwn kesi imeisha?jmn mnaojua mtujuze.
  11. J

    Lazaro Nyalandu na Aunt Ezekiel Wachanwa Bungeni!!!

    ndo alivomdanganya mkewe ivo... lol!?
  12. J

    Washabiki msipende kudandia treni kwa mbele mtagongwa - Shilole

    wote wamekutana bibi na bwana akili zinafanana.
  13. J

    Diamond alipwa millioni 50 na CCM

    habari nyingine bwana!!
  14. J

    Kumbe Star Times wanaihujumu ITV ! Hii Nchi hatari sana

    hv hata tv zinaushabiki wa kikabila,mm binafsi napenda hbr za itv ila ilivoanza kukwama naangalia startv bs, sina chama ila tbc siiangalii tangu alivoondoka Tido Muhando naona kama imechujuka kihabari.
Back
Top Bottom