Hayuu
Senior Member
- Jun 1, 2014
- 140
- 35
........halafu polisi wote wawe wamepasuka vichwa ubongo upo nje!!
Uwiiiiiii sio hivyo jamani huruma ubongo nje!!!!!!!
........halafu polisi wote wawe wamepasuka vichwa ubongo upo nje!!
du tumefikia hapa jamani? halafu hao polisi wawe wameoa ili wake zao tukawarithi.
Itabidi tu tufikie hapa,, afu hao polisi wawe na wadogo wa kike wazuri wanao wategemea ili tuanze kuwahudumia sisi
!
!
ajali ya lini hii? natamani ingekuwa imepata ajali defender ya polisi
Tutajitahidi hivyo hivyo....Mtatuweza mbona tutakuwa wengi sasa
Je wakiwa na ngoma?du tumefikia hapa jamani? halafu hao polisi wawe wameoa ili wake zao tukawarithi.
Tutajitahidi hivyo hivyo....
Ajali hiyo ilitokea jana jumatatu ya tarehe 02/02/2015 basi likitokea Mbeya kwenda Dar...
Jamaa yangu alikuwemo kwenye basi hilo, bahati mbaya muda ananitaarifu alikuwa yuko Mbuyuni kwenye basi lingine New Force akielekea Dar...
Gari ilikata brake ikishuka mlima, dereva akaona heri lawama kuliko fedheha...ili kukwepa kutumbukia chini ya mlima akalibamiza gari kwenye mwamba upande wa dereva, lilipobamizwa ukutani ndipo kikalala kama linavyoonekana kwenye bandiko la mleta taarifa...
ni Mungu tu kawanusuru nnavoujua ule mlima na lile bonde tungeongea mengine.
Mmmmmmmmmm sidhani kikulacho tupo wengi sasa au ndio kila mtu stsjipatia watano watano??????
......Nakuheshimu!!. Usidhani upo hapa kwa ajili ya kumuelekeza kila mtu aandike unachokitaka wewe. Akili finyu unaipima kwa kutumia maandishi? Ukiona mtu ana akili finyu na Mungu kakubariki wewe kuwa na akili timamu unatakiwa umshukuru Mungu na sio ku-dis watu.acheni akili finyu.
Hapo sio kitonga..
Kwa jinsi wanavyopiga watu vile bila kutumia akili, acha yawakute tu hao polisi, labda akili itawakaa sawa!shetani mkubwa ww uwaombeae binadam wenzio mabaya,kuna nchi gani isiyokuwa na utawala wa sheria? ni kweli kwamba ww,mamako,babako,dadako na ndg yako yeyote yule hawajawahi kupata shida na kwenda polisi? sio unaongea mambo ya k×mak×ma tu
Njagu umepaniki kinyamashetani mkubwa ww uwaombeae binadam wenzio mabaya,kuna nchi gani isiyokuwa na utawala wa sheria? ni kweli kwamba ww,mamako,babako,dadako na ndg yako yeyote yule hawajawahi kupata shida na kwenda polisi? sio unaongea mambo ya k×mak×ma tu