Nifanyaje ili nimuache lakini asiumie?

Nifanyaje ili nimuache lakini asiumie?

yaani uyu jamaa asitudanganye inaonesha amempata mwingine anayempenda au mschana huyo ajasoma a.k.a mama wa nyumban hvo anafkiri akimuoa atakuwa tegemezi. tafadhali awe waz kwa kutueleza cv ya mschana huyo
 
Uliwezaje KUJENGA ushindwe KUBOMOA? Wanaume tumebaki wachache sana!
 
Vunja ukimya...

Sema nae

Na hivi kwa nini utoe ahadi ambazo huwezi kutekeleza???
Ndo hapo sasa. Kwann uahid vitu hovyo hovyo bila kufkiria? Yani inaudhii. Bora tuu mtu ukae kimya kuliko kujitutumua kwenye hamna.
 
Ndo hapo sasa. Kwann uahid vitu hovyo hovyo bila kufkiria? Yani inaudhii. Bora tuu mtu ukae kimya kuliko kujitutumua kwenye hamna.

Mwambie maana wanakera mi ukiahid hivo nakutimuaa na sim nakublock kabisa
 
Ili asiumie muachie taratiiiibu,usimsukume wala usimvute
 
nijuavyo...mm...usilipe wema kwa ubaya...kuwa muwazi then...usimkere....kwani.image...angekuwa...anakutendea....wewe ungelizika?
 
kwa ufupi hutaki kuwa nae na ushampats mbadala wake,kuna majukumu yanayozuia mahusiano bs waliooa wasingejiendeleza kielimu wala kusomesha ndg zao au watoto wao,kuwa mkweli funguka usidanganye watu hapa.
 
Back
Top Bottom