Leo nimebahatika kupigiwa simu na rafiki yangu wa siku nyingi sana wa kijijini akanisimulia kisa na kuniuliza maswali ambayo sikuwa na Majibu.
Kijijini kwao kiongozi weo alikuwa anaitwa Kifungo, na katika safu yake kulikuwa na Viongozi wengine ambao ni Makubaliano, Kibarua, Kitochi, na wengine...
Haya ni matokeo ya kuendekeza bajaji kupita barabara kuu kama vile daladala huku wakiogopwa kufukuzwa kwa kauli tu utowasumbua wapiga kura. Watakuja kusababisha madhara makubwa
Pole kwa changamoto. Muulize Mama yako yeye anapewa kiasi gani na mume wake? Na Je anawasaidia ndugu zake?
Ukiachana na ndoa kwa kujali ndugu zako basi ujue umekwishaa. Maana Mama yako ndio mchawi wa ndoa yako.
Je Hii ndio DW Word imeanza kazi? au bado bandari wanasuasua?
Kuna wakati ilitoka habari humu kuwa meli zinakaa muda mrefu bila kushusha mizigo mpaka ikafikia hatua meli zinahama bandari lakini Mamlaka ya Bandari wakakanusha pengine ni ukweli ambao ulifichwa.
Hii dhambi ya kukanusha taarifa...
Kiukweli niliposoma kichwa cha habari nikajua kuna ukiritimba nikawa tayari kukupa mtu wa kukusaidia. Ila baada ya kusoma kisa kizima, nasikitika kwamba siwezi kukupa mtu wa kukusaidia.
KUNA UKWELI HAPA LAZIMA TUKUAMBIE
Jambo la muhimu lipa ada wanayokudai au peleka uthibitisho kuwa umelipa...
Yani ukiona hivyo ujue kuna halmashauri zina ukiritimba, hazitaki kuweka wazi, hivyo zinaona kuweka kwenye mfumo itawakosesha ulaji. Kuna watu maofisi ya Serikali wanapenda kutukuzwa na kufuatwafuatwa, ukiuliza sababu hapo watajifanya wanakupa sababu za kitaalamu kweli kumbe wanachosema...
Lazima namba ya simu uliyoandika iwe inaendana na ile uliyosajili wakati wa usajili wako wa Nida. Na Kama namba uliyotumia wakat unasajili nida ni tofauti, basi hakikisha namba ya sasa unayotumia imesajiliwa kwa namba yako ya ileile ya nida. kama unatumia namba ya mtu lazima utakwama
As long as tunaona the re is no any way tunaweza judge wametuwekea vibaya au lah... kikubwa tunaviona na tunaamua wakat tumeshaona kama kuna korongo au alh kuliko ile njia ya mwanzo kwenye makaratasi makubwa kama mashuka ya mmasai
Ukiingia kwenye huu mfumo wa Tausi kupitia tausi.tamisemi.go.tz una vitu vingi sana ndani japo vingine naona havifanyi kazi.
Nimefurahishwa sana na uuzaji wa viwanja ambapo unanunua kiwanja unakiona kwenye ramani kama ilivyo google map, tofauti na ile ya kwenye karatasi. Wengi tuna viwanja...
Mgeni anapokuja hawezi kushinda na rais masaa yote na siku zote. Ukiangalia ratiba vizuri utagundua rais wetu atarud kabla mgeni hajaondoka. Hivyo uwezekano wa kukutana au kuonana bado ni mkubwa sana.
Ingekuwa rais wetu ana ziara ya siku 3 alipoenda na mgeni ana ziara ya siku 2 nchini kidogo...
Huduma yeyote ile inayoiwezesha jamii husika kupata huduma nyingine, ikicheleweshwa kwa jamii, Maendeleo kwenye nchi huwa yanachelewa au yanaenda Taratibu.
NARUDIA!
"Huduma yeyote ile inayoiwezesha jamii husika kupata huduma nyingine, ikicheleweshwa kwa jamii, Maendeleo kwenye nchi huwa...
Nchi ya Tanzania inapendwa na Mungu zaidi kuliko hata sisi Watanzania wenyewe. Tumebarikiwa kuwa na bendera yenye yenye rangi nne na kila rangi ina maana yake.
1. Kijani
2. Blue
3. Dhahabu/njano
4. Nyeusi
Tuiombee bendera yetu iendelee kupepea juu, ipande saa 12 asubuhi na ishuke saa 12 jioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.