Recent content by jhohoho

  1. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia awekwe kwenye Noti/Sarafu

    Tanzania bado tuna wananchi wengi waoingia chooni wakiwa wamevaa kanda mbili wakiamin viatu huvaliwa ofisini na makanisani tu Mungu tusaidie
  2. J

    JamiiForums Tanzania UTEUZI: Bw. Sylvester Joseph Kainda ateuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

    Kwa nn wasiteuliwe na jaji mkuu?
  3. J

    JamiiForums Tanzania Trump kutegemea nguvu ya dola ni sawa na Tanzania, ila dola ya Marekani ni tofauti na Tanzania

    Huku kwetu moshi wa mwenge tunaovuta wakati wa mbio za mwenge ndio tatizo kubwa
  4. J

    JamiiForums Tanzania Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD

    Hawa waarabu ilitakiwa waje huku vijijini walime kwa tija tuone matunda ya kilimo Sio kukimbilia bandarini
  5. J

    JamiiForums Tanzania Sakata la Bandari: Spika Tulia atoa ufafanuzi

    Hapo uliposema bunge litajadiri na kupitisha umechemsha… Ulitakiwa kusema Bunge litajadili na kupitisha au kutopisha azimio hilo
  6. J

    JamiiForums Tanzania IMF yaidhinishia Tanzania mkopo wa Trilioni 2.4

    Acha tukope tu wakati wa kulipa wengi tutakua tushakuwa marehemu Hivyo watalipa watoto na wajukuu wetu
  7. J

    JamiiForums Tanzania CWT wapiga mkwara walimu wanaojitoa uanachama

    Kana dudu lingine linaitwa TALGWU
  8. J

    JamiiForums Tanzania Mbunge Mpina amvaa tena Waziri Bashe

    Kwan mavi ya ng’ombe nayo si huwa mbolea au siku hizi hayatumiki?????
  9. J

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

    Ni kwa sababu wao pia wanajidharaulisha mtaani. Sasa unakuta mwalimu anadaiwa vitumbua vya elfu moja na mama ntilie miezi miwili bila kulipa
  10. J

    JamiiForums Tanzania Mtanzania, Unategemea nini kwenye Bajeti kuu ya Serikali 22/23?

    Mi nasubiri huko ngorongoro bajeti itasemaje
  11. J

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

    Soma vizuri barua uelewe panzi wewe
  12. J

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu anafanya vizuri bei ya mafuta ukanda wa maziwa makuu

    Kwan kalalamika bei ya mafuta???? Kama inchi tupo vizuri MITANO TENA au mnasemaje wajumbe
  13. J

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Cement bei juu kwa sababu ya vita ya Ukraine na Urusi

    Sasa hivi hata vitumbua vikipanda tutaambiwa vita vya URUSI
  14. J

    JamiiForums Tanzania TRA Kuanza Kuzitoza Kodi, Facebook, Instagram na Whatsapp

    Huuu mchakamchaka tunaopelekwa tutajikuta tunafika mbinguni tukiwa hai.
  15. J

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Ilikuwa ni vigumu kwangu kufanya kazi na Hayati Magufuli hasa alivyokuwa anakabiliana na suala la Covid -19

    Amejibu vizuri ....yeye ndio alikuwa anaujua ukweli kuwa magufuli alikuwaje kiutendaji. Yawezekana hata hilo jibu angeweza kulitoa hapa nchini, tatizo waandishi wa habari wa hapa nchini wakialikwa ikulu na kupewa nafasi ya kuuliza swali hawahoji maswali fikirishi. Kazi kubwa ya waandishi wetu...
Back
Top Bottom