Amejibu vizuri ....yeye ndio alikuwa anaujua ukweli kuwa magufuli alikuwaje kiutendaji.
Yawezekana hata hilo jibu angeweza kulitoa hapa nchini, tatizo waandishi wa habari wa hapa nchini wakialikwa ikulu na kupewa nafasi ya kuuliza swali hawahoji maswali fikirishi.
Kazi kubwa ya waandishi wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.